kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Ni kawaida kwa shirika la umeme TANESCO kukata umeme bila kutoa taarifa kwa wateja wao tunaoishi mabonde kwinama (hasa nje ya mji).
Nashukuru kwa Mara ya kwanza katika eneo langu kuwaona TANESCO wakipita na gari lenye kipaza sauti wakiwatangazia wananchi kuwa watakata Umeme na kuurudisha kwa muda (...) uliopangwa.
"BigUp TANESCO mnaanza kujitambua, na kututhamini sisi wananchi, na kutambua kuwa sisi ndiyo wateja wenu' tunaowalipa mishara, na kulipa kodi kwa serikali".
Nashukuru kwa Mara ya kwanza katika eneo langu kuwaona TANESCO wakipita na gari lenye kipaza sauti wakiwatangazia wananchi kuwa watakata Umeme na kuurudisha kwa muda (...) uliopangwa.
"BigUp TANESCO mnaanza kujitambua, na kututhamini sisi wananchi, na kutambua kuwa sisi ndiyo wateja wenu' tunaowalipa mishara, na kulipa kodi kwa serikali".