Hongera serikali kwa TSCP

Hongera serikali kwa TSCP

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,672
Reaction score
3,737
Kupitia Tanzania strategic cities project miji ya Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya na Tanga imependeza jamani tuache unafiki na watu wa Mbeya na Arusha hata bajeti ya kununua kiwi imepungua.
 
ivi unajua hadi wajukuu na vitukuu vinadaiwa Tz?
 
Yan wew umeingia Arusha na DAR EXPRESS ukalala ndani ya basi ndo unatoa comment eti bajeti za kiwi zmepungua, ungetembea kdogo ucngeandika hapa au vumbi kwako ni manukato?
 
Back
Top Bottom