Kwanza kabisa nikupe pole kwa kazi nzito ya kuwatumikia wana simiyu
Pili ni kukupa Hongera sana kwa kazi nzuri
Inayo Fanya katika mkoa wako Hongera sana mkuu katika wakuu was mikoa wasio na majivuno,zarau na maringo kazini wewe in moja wapo
Tatu wewe sio wa kupenda kamera mambo yako kimya kimya ila unafanya ya maana Hongera sana kwa yote
Nakutakia majukumu mema umeonyesha njia wengi wataiga kutoka kwako