Mkuu unakosea sana, suala hili halina siasa hapa, suala ni TCRA wananihakikishia nini juu ya usalama wa taarifa zangu wakati wa usajili? Unajua kuwa aarifa zako zikitumiwa vibaya unaweza ukawa implicated kwenye kosa ambalo hujatenda kama masuala ya ujambazi, ugaidi n.k.
Sent using
Jamii Forums mobile app