mfarisayo JF-Expert Member Nov 23, 2010 5,160 2,001 Jan 4, 2012 #21 Hamna kitu hapo tatizo wabongo wakisikia tu mtu anafanya kazi kimataifa basi wanadhani anaweza kutusaidia hapa. Akija hapa na kuchotewa koleo moja la dhahabu kwisha habari yake
Hamna kitu hapo tatizo wabongo wakisikia tu mtu anafanya kazi kimataifa basi wanadhani anaweza kutusaidia hapa. Akija hapa na kuchotewa koleo moja la dhahabu kwisha habari yake