bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,172
- 3,265
we lukuvi anakukaza mkunduni malaya wewe.mmpe na ------ wako akufire
Wewe jifunze adabu huko ulipotoka , hapa sio sehemu ya watu wanaovuta bangi na kuju kutikana hovyo . Jiheshimu .
we lukuvi anakukaza mkunduni malaya wewe.mmpe na ------ wako akufire
Ukitaja Isman, namkumbuka Kulak mkuu ustaadh Mwamwindi![/B][/COLOR]
Isingekuwa sera nzuri ya CCM hata hiyo lugha ya mkoloni uliyotumia kuweka msisistizo usingeijua..tatizo lenu CHADEMA imewapandikiza chuki kiasi mnaona kama CCM haijafanya lolote...wewe unajua maendeleo ya Jimbo la ISAMAN yaliyoletwa na Ccm au unabisha tu
Tena mkuu ni mikutano isiyo na tija kaka....wala hajuna maendeleo,yeye ni kutoa Quotation za kwenye biblia,sisi tunataka maendeleo kama ya Wenzetu wa ISIMAN...NJOO KAKA NJOO TUKUPE JIMBO,MCHUNGAJAI MSIGWA ARUDI KANISANI...TUMEMCHOKA
Kweli mkuu,
Huyu anapanda jukwaani kuhubiri badala ya kuwaeleza wanachi anafanya nini bungeni.
Nimeona video yake juzi anasema eti wananchi wa Iringa wanapenda vurugu, huu ni utoto, wananchi wanataka maendeleo na utatuzi wa kero zinazowasumnbua miaka nenda rudi. haya mambo ya vifungu vya biblia kanisani sio jukwaani.
Halafu kuna mchango nilimkabidhi aakmpatie mjane wa Mwangosi sijapata taarifa kama zile hela zilifika
Wacha uongo wako. Katika majimbo ya Iringa Isimani ndo jimbo maskini zaidi. Wadanganye walio mbali. Nakuambia kama atacheza fair play hata wana ccm wenyewe wanampiga chini kura za maoni.
Nikiwa kama mdau wa siasa za Iringa,naomba nichukue nafasi hii kumpongeza Mh.Lukuvi kwa juhudi zote anazozifanya katika Bunge la JMT...Akiwa kama Mnadhimu kwa upande wa Serikali,ameonyesha kuimudu vyema sana nafasi hiyo,amecontrol jazba na nidhamu ya wabunge wa upande mwingine,ameonyesha weledi mkubwa wa hekima na busara akitofautiana na mnadhimu wa upande wa pili
Kama umelifuatilia Bunge utakubaliana na mimi kuwa huyu Mh. ameonyesha kujua sana kanuni za bunge,kujenga hoja na kujibu miongozo na hoja ya wabunge wanaokurupuka...hakika Vangimembe unawakilisha...bila unadhimu wako Bunge lingetawaliwa na wahuni wanataka kumtukana Rais hata billa sababu...
Kwa wanaofuatilia siasa za Iringa Jimbo la MH.LUKUVI haliwahi kuguswa na upinzani sbb ISIMANI watu wanaipenda CCM na CCM imewafanyia mambo mengi sana,hata DR KAPWANI alipojaribu kugombea kwa tiketi ya CHADEMA allishia kukimbia dakika za mwisho mana wana ISIMAN walimwambia hana chake na CHADEMA yake,wao wako na LUKUVI toka 1995 na wameahidi tena kumpa 2015...
Nenda Pawaga,Idodi,Lwang'a,Izazi mpaka Migoli..huku kote ni maendeleo ya CCM na MH.LUKUVI..Ameleta maji na sasa barabara inajengwa kwa kiwango cha lami toka Iringa-Lwang'a-Izazi-Migoli hadi Dodoma...Siasa safi na maendeleo aliyoleta Mh.LUKUVI yamefanya CHADEMA wasikanyaga kabisa ktk Jimbo la ISIMAN mana hakuna watalaosema,ndio maana ktk mkoa wa Iringa ndo Jimbo pekee ambalo si Mbowe wala Padre Slaa aliwahi kukanyaga,mana wanajua hawana chao,hata pale Iringa mjini ni vile Mama Mbega hakuwa chaguo lao..wao walimtaka Mwakalebela..2015 Mchungaji Msigwa atarudi kwenye mradi wake wa kanisa,wana Iringa hawahitaji tena siasa za maandamano bila maendeleo.
Jimbo la Isimani litaendelea kuwa mikononi mwa CCM sbb ya maendeleo walioletewa na CHAMA CHA MAPINDUZI..HONGERA SANA WILLIAM VANGIMEMBE MWALUKUVI :yo::second:
Wacha uongo wako. Katika majimbo ya Iringa Isimani ndo jimbo maskini zaidi. Wadanganye walio mbali. Nakuambia kama atacheza fair play hata wana ccm wenyewe wanampiga chini kura za maoni.