kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Shot on target?umeagalia statistics? Kaangalie tena uje na huu Utelembwe
umeagalia statistics? Kaangalie tena uje na huu Utelembwe
Nyau fc mlizani nyau anavuka bahari.
Eti ninja tu kawaficha dah eti mcheze na ahly ahly
Pole sana kwa kukalia kimoja .Wivu tu,na tutacheza nae.Maana hao wanacheza mpira.Tunapocheza na uto tunajiandaa kukabiliana na wacheza mieleka
Wakosaji huwa hawakosi maneno.
Sizitaki mbichi hizi
Dakika 90. Shots on target.Kwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka.Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft,na marefa wetu walivyo,wanaweza kukuabisha sana.Ila leo nimeona physique,nimefurahi sana...
Pole sana kwa kukalia kimoja .
Bado vitano vya ahly ahly hii ni trela tu
Dakika 90. Shots on target
Simba 0 Yanga 5. Bado naona tatizo mahali kwa Simba
Sijakataa. Mechi ya leo ni tofauti na hata huyo mfungaji bora leo hajafunga. Tukubali tu beki ya yanga ni nzuri na imezuia washambuliaji wa Simba wasipige shot target hata mojaUsitishike na takwimu.Kila mechi ina game plan zake.Bado mfungaji bora anatokea Simba hiyo hoyo
.Unataka statistics zipi?Si umeshachukua kikombe kwa penalty?
Kwa nini unataka kuishi kwa statistics kama unavyoishi bara?bingwa wa kihistoria?
Ivi kuna shabiki wa Nyau fc asie amini kuwa kagongwa?
Acheni wenge, wananchi sio watu wazuri nyie!