Hongera Magufuli

Hongera Magufuli

malobosato

Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
61
Reaction score
4
Wana JF,leo naingia jukwaani kumsifu Magufuri kama mbunge wa Chato.Aliyefika Chato kipindi Chato iko chini ya jimbo la Biramulo na akawa amefanikiwa kwenda tena Chato,atayaona mabadiliko makubwa yalipatika chini ya uongozi wake Pombe John.Kabla,lami ulikuwa ni msamiati kwa mtu wa chato,umeme ilikuwa sawa na ndoto za mchana,chato kilikuwa kisiwa cha nchi kavu,leo mawasiliano bwelele,huduma na mambo mengi ya msingi ameyasimamia.HONGERA MBUNGE WANGU.
 
malobosato;Unamaana John Pombe Magufuli, yule ambaye alikuwa na "mgogoro" na TABOA pamoja na wamiliki wa maroli wiki moja ilopita?
 
Namuangalia kwa jicho la KIBUNGE na si kama waziri
Sasa uzalendo uko wapi hapo ina mana utafia chato hutoki humo kwenda kununua viwanja bagamoyo na kufanya kazi mtwara au kudandia malori ya mafuta kama hutaki mabasi
 
Magufuli jembe katika wabunge lazima awe tano bora au tatu bora.
 
huyu jamaa tatizo lake anaubabe wa kizamani ulimbukeni na majivuno kwa kubinjua mdomo kama beberu la mbuzi
 
Zipi hizo nyumba unazosema.

Tatizo lenu mnapenda kujivua akili pale tu mnapotetea maslahi yenu (BK 7) unajifanya kusahau kashfa ya nyumba basi tuache hiyo je wale Samaki vipi? maana Serikali iliingia gharama kubwa kuwatunza kuliko hata gharama yenyewe ya hao Samaki na kesi yenyewe iliishia kuwa kiini macho kwani JK ameishawekeana saini na waziri husika wa nchi waliotoka hao wafungwa ili kubadilishani wao tunawarudishia wafungwa wa Uvuvi haramu na sisi wanaturudishia wafungwa wetu wa Dawa za Kulevya Waliokamatwa baada ya kutumwa huko na PRINCE.
 
Kiongozi aliyethubutu kusimamia sheria tu safi sana go magufuli there is no option in enforcing laws

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Magufuli jembe katika wabunge lazima awe tano bora au tatu bora.

Jembe ni Pinda baada ya kumuonyesha ubabe kwa kutengua maamuzi yake ya kibabe na ya kijinga.
kwani alichofanya Pinda hakina tofauti na maamuzi anayoyafanya Mume ndani ya nyumba kwa Mkewe
 
Kiongozi aliyethubutu kusimamia sheria tu safi sana go magufuli there is no option in enforcing laws

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Kiongozi gani unasimamia sheria halafu viongozi wako wa juu wanakuingilia unanyamaza kimya, ningempongeza kama angeamua kujiuzuru kutokana na kudhalilishwa huku kwani hii si mara ya kwanza kwenye bomoa bomoa Kikwete alimuingilia akakaa kimya na sasa ameingiliwa na Pinda bado yuko kimya. MAGUFULI NI MGANGA NJAA TU HANA MSIMAMO
 
Nikweli mdomo anao sana,lakini na kazi anafanya,udhaifu wake wa ubabe ktk kutekeleza majukumu yake bado hauondoi sifa yake ya uchapakazi aliyonayo,POMBE NI JEMBE.
 
Back
Top Bottom