Pope
Senior Member
- Dec 3, 2007
- 117
- 0
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza Viongozi wa CUF Maalim Seif na Ibrahim Lipumba kwa ushindi wao wa kishindo katika uchaguzi uliopita majuzi ndani ya chama hico.
Binafsi nimeshtushwa na ushindi huo si kwamba nilitazamia waangushwe la hasha kwani kushinda kwa asilimia 98.6 kwa Lipumba na asilimia 99.5 kwa Seif si mchezo hasa kwa siasa tata za nchi zetu.
Mgombea Abdallah Safari ambaye alikuwa akigombea nafasi hiyo ya Maalim Seif alipata kura 6 sawa na asilimia 0.9, kilichonipelekea kuandika hapa ni huyu Bwana Safari. Kama mnakumbuka Prof, Safari alipoteza kazi yake Serikalini kwa sababu ya CUP, akiwa ni mtumishi wa Serikali ndani ya Wizara ya MAmbo ya Nje, Chuo Cha Diplomasia kama Mkurugenzi wa Mipango na MAsomo na wakati huo huo akiwa anatumiakia Professional yake kama wakil Prof Safari aliwatetea CUF ambapo washtakiwa Lipumba a Seif walishinda na malumbano hayo yalipelekea yeye kupoteza ajira,
Swali langu je kweli CUF wameshindwa kuona uchungu wa Prof Safari kwa Chama hiki, maana nina imani Uongozi anaweza, Je Zimwi la Serikali bado linamuandama?
Wabbillah Tawfiq
Binafsi nimeshtushwa na ushindi huo si kwamba nilitazamia waangushwe la hasha kwani kushinda kwa asilimia 98.6 kwa Lipumba na asilimia 99.5 kwa Seif si mchezo hasa kwa siasa tata za nchi zetu.
Mgombea Abdallah Safari ambaye alikuwa akigombea nafasi hiyo ya Maalim Seif alipata kura 6 sawa na asilimia 0.9, kilichonipelekea kuandika hapa ni huyu Bwana Safari. Kama mnakumbuka Prof, Safari alipoteza kazi yake Serikalini kwa sababu ya CUP, akiwa ni mtumishi wa Serikali ndani ya Wizara ya MAmbo ya Nje, Chuo Cha Diplomasia kama Mkurugenzi wa Mipango na MAsomo na wakati huo huo akiwa anatumiakia Professional yake kama wakil Prof Safari aliwatetea CUF ambapo washtakiwa Lipumba a Seif walishinda na malumbano hayo yalipelekea yeye kupoteza ajira,
Swali langu je kweli CUF wameshindwa kuona uchungu wa Prof Safari kwa Chama hiki, maana nina imani Uongozi anaweza, Je Zimwi la Serikali bado linamuandama?
Wabbillah Tawfiq