Hongera Lowassa, Hongera UKAWA

Hongera lowassa hata Roma aikujengwa siku moja tulipofikia si haba tunapiga hatua tusikate tamaa
 

Mhh....
 
Hongera Lowasa, kura milioni 6 si utani. Inaonyesha jinsi alivyokubalika na kuaminika.
Hivyo Slaa uchaguzi wa 2010 alifikisha kura ngapi?
HONGERA LOWASSA, HONGERA UKAWA, HONGERA WATANZANIA. Kila la kheri Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na Mhe. Samia Suluhu Hassan. Kuhusu Slaa ni kwamba alipata kura 2,271,941 sawa na asilimia 26.34, hata ungeunganisha na za Prof. Lipumba (aliyepata kura 695,667 sawa na asilimia 8.067) bado kwa namba na kwa asilimia Mamvi ameonesha kukubalika na watanzania wengi kuliko mpinzani yeyote aliyewahi kutokea nchi hii mpaka sasa.
 
Chamuhimu ni tume huru na katiba mpya vinginevyo msitegemee chochote hata miaka 100 mtapiga kelele tu
 
HV TAYARI TUMESHATEPETA NA KUKUBALI UHUNI NA UDHALIMU ASUBUHI HII TU.Are we serious.
 
MPE hongera lowasa kwa kupoteza pesa na sasa anajiuliza anazirudishaje
 
hongera ukawa mimi nitakuwa mbunge wenu 2020
 
Mimi sikat tamaa sababu raisi wangu ni Lowasa
 
🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃
 

HONGERA EDWARD LOWASA NA UKAWA kwa ujumula. History will remember Lowasa as the man with a seed of revolutionary minds and Ukawa as the garden of transformation and the followers as the farmers of change. God bless LOWASA, God bless UKAWA.
 
Katika uchaguzi hakuna mshindi wa pili.pole mzee mamvi monduli kunakuhusu sasa!
 
Hakuna kurudi nyuma katiba mpya ya wananchi na tume huru ya uchaguzi ni lazima tuvipate. Wabunge wetu wapigane kufa na kupona hadi haya mambo mawili yapatikane. Wizi uliofanyika baada ya kupiga kura ni mkubwa mno!Ksa cha kukataliwa kukaa mita 200 ndio hicho! Masanduku yalibadilishwa fasta! Mbinu zot wasimamizi wa vituo husika walizijua hence tume haiwezi kukwepa lawama.
 
""Kama tulivyoeleza jana takwimu zetu sisi zilionesha kwamba nilikua naongoza kwa zaidi ya 67%,na sasa tumejiridhisha kwamba nimepata kura 10,268,795 sawa na asilimia 62% baada ya kukamilisha kazi ya kukusanya fomu za matokeo nchi nzima"" Lowassa

Kweli?
 
Wabunge wapi? Kila ck maibiwa hivi huwa mnalala vituoni? Acheni kujifarishi mkubali mmeshindwa sasa kazi tu. Maisha yanaendelea
 
Katika uchaguzi hakuna mshindi wa pili.pole mzee mamvi monduli kunakuhusu sasa!

Duh kumbe fools still exist, with a shallow argument damn. Sasa Lowasa alivyosema elimu, elimu, elimu. Sasa nadhani uende shule upate akili mana u are so stupid for u to live in the 21 century.
 
Mimi sikat tamaa sababu raisi wangu ni Lowasa
Pole sana rais ni Magufuli huyo wa kwako labda rais wa wafugaji wa monduli. Uhamie huko usije ukakwaza maendeleo ya majimbo mengine
 
Hongera Lowasaa , Hongera UKAWA........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…