Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Mwanzoni mwa mwezi huu nilileta hapa post ya kupendekeza Kikwete azungumze na Kagame ili wayamalize. Wapo wanaona mbali, waliisifia post ile na wapo wanaoona karibu walinitusi, kunikejeli na hata kuniita Mnyarwanda. Sasa Kikwete amesikiliza pendekezo langu, na hapa chini ni uthibitisho. Tena amefanya kama nilivyopendekeza. Sijaediti ile post, ipo kama nilivyoiweka. https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/499266-kikwete-zungumza-na-kagame.html
Ni lazima nitamke kwa herufi kuu kwamba Kikwete hapa ameonyesha uanadiplomasia wa hali ya juu. Hajataka kuonyesha umwamba kama ambavyo Kagame anafanya, ameamua kushuka kwa faida ya nchi yetu na watu wake. Hii ni credit kubwa sana kwa Kikwete, katika hili, Kagame anaonekana ni bonge ya kubwa jinga.
Kwa dhati ya moyo wangu nakupongeza sana Rais wangu. Japo sikubaliani na wewe katika masuala mengi ya kiuongozi, lakini najivuna kuwa na rais mwenye hekima kiasi hiki. Big Up Kikwete.
----------------------------
Mada - The Tanzanian government has reached out to President Museveni to help mediate in its simmering row with Rwanda
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...hisha-mgogoro-kati-ya-tanzania-na-rwanda.html
Ni lazima nitamke kwa herufi kuu kwamba Kikwete hapa ameonyesha uanadiplomasia wa hali ya juu. Hajataka kuonyesha umwamba kama ambavyo Kagame anafanya, ameamua kushuka kwa faida ya nchi yetu na watu wake. Hii ni credit kubwa sana kwa Kikwete, katika hili, Kagame anaonekana ni bonge ya kubwa jinga.
Kwa dhati ya moyo wangu nakupongeza sana Rais wangu. Japo sikubaliani na wewe katika masuala mengi ya kiuongozi, lakini najivuna kuwa na rais mwenye hekima kiasi hiki. Big Up Kikwete.
----------------------------
Mada - The Tanzanian government has reached out to President Museveni to help mediate in its simmering row with Rwanda
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...hisha-mgogoro-kati-ya-tanzania-na-rwanda.html