Ng'ombe
Tatizo la bongo hata hiyo humvee nayo ya uchina kama ndege vita zetuNalipongeza jwtz kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata Sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo Lina stance.
Hongera jwtz.
Leta picha tuonee...sio porojooo
Ndio nyie nyie mkikabwa huko vichochoron kwenu bila msaada wowote mnakuja kulalamika polisi hawalindi raia na mali zao.
Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.