Mkuu, hii ni coincidence . Uchumi kwa watu wa sehemu kama Dar umeshuka sana , majambazi nao wamekuwa wapole, hawana deals za kutosha. Wakiiba watamuuzia nani mfano gari maana ukata ni mkubwa. Pia baada ya Dodoma kuwa capital city, Jiji la Dar limepungua wakazi hasa wafanyabiashara ambao wamehamia mikoaani na walikuwa ni target za majambazi.
Tunaweza kutoa sifa ambako labda hapastahili.i