bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari zenu wanajamvi?
Kati ya watu ambao nilihisi wameachana kabisa na tasnia ya habari hapa Tanzania ni pamoja na Iddi Ligongo kama mtamkumbuka ni yule alianza katika uigizaji miaka ile ya mwanzoni mwa 2000 pamoja na marehemu kanumba katika kundi lao la mchezo wa fukuto, ambapo baadae akajiunga na Radio 1 / ITV, mara akapotea.
Lakini pia Mwanadada Mary Mgawe ambae alikuaga Radio 1 enzi hizo na kina Sunday Shomay, marehemu Julius Nyaisangah, Aboubakary Sadik n.k. Nae hyu dada gafla akapotea.
Jana nlikua naskiliza updates za Nkurunzinza nkasikia anaerusha matangazo kutoka IDHAA YA KISWAHILI YA SAUTI YA AMERIKA...
Daah! Nilishangaa lakini nkafarijika sana kuwasikia wamejisogeza kielimu mpaka hapo walipofikia.
Mungu awabariki..
Kati ya watu ambao nilihisi wameachana kabisa na tasnia ya habari hapa Tanzania ni pamoja na Iddi Ligongo kama mtamkumbuka ni yule alianza katika uigizaji miaka ile ya mwanzoni mwa 2000 pamoja na marehemu kanumba katika kundi lao la mchezo wa fukuto, ambapo baadae akajiunga na Radio 1 / ITV, mara akapotea.
Lakini pia Mwanadada Mary Mgawe ambae alikuaga Radio 1 enzi hizo na kina Sunday Shomay, marehemu Julius Nyaisangah, Aboubakary Sadik n.k. Nae hyu dada gafla akapotea.
Jana nlikua naskiliza updates za Nkurunzinza nkasikia anaerusha matangazo kutoka IDHAA YA KISWAHILI YA SAUTI YA AMERIKA...
Daah! Nilishangaa lakini nkafarijika sana kuwasikia wamejisogeza kielimu mpaka hapo walipofikia.
Mungu awabariki..