Mimi nampongeza nafasi aliyopewa nakumbuka alikuwa mwalimu wangu wa physiology pale muhas, na pia nimfahamu coz alikuwa mkti wa MEWATA kwa kweli aljitahidi kuhalalisha watu na kweli walihamasika. Lakin naomba niungane na ndugu yangu Kwetu Iringa, kwamba kwa taasis kama MNH ipo complex sana na inawatu mahiri ambao wanamfahamu Dr Marina in and out na mpaka katoka kapitia njia zipi watu wanajua. Pia tutambue kuwa kuendesha taasis zinazovuta hisia za watu kama MEWATA ni tofauti na MNH. Prof Lema mwenyewe alifanikiwa coz ya kutumia ubabe kidogo, mwulize Dr Lipyoga alopokaimu hadi panya walianza kuhamia thietre. Kwa hiyo akitaka aendeshe kwa hisia kama Mewata anaweza akashindwa any way tumwombee afanikiwe. Time will tell. Good luck Dr Njelekela