RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,523
- 135,620
Jana nilikuona unatembea uchi Posta Mpya.Sasa unambishia wakati ye kaona
Jana nilikuona unatembea uchi Posta Mpya.Sasa unambishia wakati ye kaona
Ni kweliJana nilikuona unatembea uchi Posta Mpya.
Ni hatua lakini ndogo sanaBila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.
Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.
Pamoja tujikinge na Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe yule ndio Khantwe? Mashaallah..Jana nilikuona unatembea uchi Posta Mpya.
Moja ya dalili(homa)
Nikitaka kwenda benki nakula panadol homa ipungue natinga ndani..vp hapo?Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.
Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.
Pamoja tujikinge na Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtueni sasa kashaelewa kiongozi harudii tena customer wa BDRC 😝Wanapima COVID 19![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] Huyu jamaa fala kweli! Temperature test ndo kupimwa corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Unlikely.Amesema wanapima corona sio joto