Hongera CRDB kwa ubunifu wa leo

Hongera CRDB kwa ubunifu wa leo

Ngwakwiii

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
434
Reaction score
543
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tena vile vipimio vyeupe nna wasiwasi navyo ukikaa jirani na jua au kutembea kidogo hakikawii kusema una joto 40

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapimwa joto unasema unapimwa corona😜
 
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wala hata sio kwamba wanaguswa na maisha ya wateja wao, wanaguswa na (usalama) maisha yao kwa sababu kwa kazi yao wanakutana na watu wengi kila siku. Yote kwa yote, wanafanya jambo jema.
 
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapima covid19 au joto la mwili?
 
Bila kuchelewa nimependa sana style wanayotumia benki kongwe nchini ya CRDB ya kuwapima wateja kila anayeingia kupata huduma.

Leo nimeenda kwenye tawi moja katika ya mji wa Dar es salaam nikaona jinsi gani wanavyoguswa na maisha ya wateja wao kwa kuwapima Covid-19. Ingependeza kama sekta zote binafsi na za umma zingeiga mfano huo.

Pamoja tujikinge na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechelewa kujua tu, sehemu kadhaa walianza utaratibu huo wa kupima joto siku nyingi.
 
Thermometer hata sisi tunazo, tunapima JOTO kwa kila STAFF anayekuja.

STEP 1: Kunawa Mikono kwa MAJI na SABUNI ( Sanitizers zipo pia ).

STEP 2: Kupimwa Joto.

Kampuni, Kukosa Thermometer litakuwa jambo la Ajabu sana
 
mbona ka wamechelewa sanaa... zipo taasisi na mashirika waloanza mapema kuwajali wateja waooo, nakumbuka kuna mdau alileta hoja apa akakaribia angukia pua....kisa wadau walimwambia anawapa promo kampuni hiyo ya mafuta 🙌
 
Mlimani City mall wanapima kila anaeingia. Unapimwa na walinzi pale mlangoni.
 
Back
Top Bottom