hongera CHADEMA sasa mmekomaa kisiasa

hongera CHADEMA sasa mmekomaa kisiasa

yamoyoni mwangu

Senior Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
106
Reaction score
31
peoples..................

katika kudhirisha ukomavu wa chama makini kama chadema lazima haya yafuatayo yazingatiwe.....

1: kuwa tayari wakati wowote kufanya maamuzi magumu yenye masilahi ya chama na wanachama kwa ujumla.

2; kuipigania haki bila kujali nani kasema nini, katika mazingira gani, kwa masilahi ya nani.

3:kujitoa kwa kila hali, moyo wote, akili zote, nia na dhamira bila kujali litamuumza nani,wapi,lini na kwanini....

4;lazima ziwepo itikadi zinazopingana/ kutofautiana, changamoto, na mawazo yanayo kinzana.


"ili kuleta demokrasia ya kweli, migogoro, mawazo kinzani lazima yawepo ili kuibua maendeleo ya kweli" karl max......
 
clearly CDM mna-products za kuwauzia wananchi... CCM hawana products za kuuza kwa wananchi tena; maisha yanazidi kuwa magumu, umeme unazidi kupanda bei, mishahara duni kwa walimu, madaktari, maaskari...Tembo wanazidi kuangamizwa, madini yanatoroshwa, rushwa imetamalaki, sembe imezidi ya Colombia, gesi wameshagawana, wananchi wanaambiwa kama hawana nauli wapige mbizi mpaka kigamboni! wengine tunaambiwa tuwashe vibatari...Pamoja na kwamba mwenyezi mungu ametupa rasilimali zote hizo, maisha yetu yanazidi kuwa duni chini ya CCM na serikali yake... itoshe kusema CCM haikubaliki kwa mustakbali na ustawi wetu watanzania...
 
Hongereni sana kwa kufahamisha wabongo chadema ni chama cha aina gani. Kwa hili mnastahili pongezi
 
Yeah in change we believe kitaeleweka tu huwezi kuzuia jua kwa ungo bana
 
peoples..................

katika kudhirisha ukomavu wa chama makini kama chadema lazima haya yafuatayo yazingatiwe.....

1: kuwa tayari wakati wowote kufanya maamuzi magumu yenye masilahi ya chama na wanachama kwa ujumla.

2; kuipigania haki bila kujali nani kasema nini, katika mazingira gani, kwa masilahi ya nani.

3:kujitoa kwa kila hali, moyo wote, akili zote, nia na dhamira bila kujali litamuumza nani,wapi,lini na kwanini....

4;lazima ziwepo itikadi zinazopingana/ kutofautiana, changamoto, na mawazo yanayo kinzana.


"ili kuleta demokrasia ya kweli, migogoro, mawazo kinzani lazima yawepo ili kuibua maendeleo ya kweli" karl max......
Kamanda! Ulikuwa unazunguka bure ulipoandika Karl Max, umemaliza kila tu Chadema ndiyo wanafuata siasa za Karl Max,
 
Njaa ni mbaya sana. Ona hawa vijana wanavyojitoa ufahamu kwa hela za siku moja. Nchii tuko mbali sana kuelekea kwenye ukombozi wa fikra.Mungu iongonze nchii kutoka huku ambako shetani (Kijani) alikotufikisha.

Kwanini hawajiuli uwezo wa kuandama bila kibari leo umetoka wapi.
Hongereni sana kwa kufahamisha wabongo chadema ni chama cha aina gani. Kwa hili mnastahili pongezi
 
kamanda tunakushukuru sana kwa uzi wako wa kuipongeza cdm , umesahau kitu kimoja tu ! kutupongeza kwa kuwabalasa n a kuwatimulia mbali WANAFIKI NA WASALITI.
 
Back
Top Bottom