Anaitwa Asma na siyo Salma. Kati ya Wazanzibari wote, hakika yeye ni unique kwa kuwa "msomi" aliyebobea na "afisa" katika Wizara ya Kilimo na Maliasili ya Zanzibar hadi kupewa Scholarship hii. Hongera Asma Gharib Bilal (au Asma Bilal Gharib kama anavyopenda ajulikane kwenye vyombo vya habari)