Hongera ACT wazalendo, CAG amewatambua

Hongera ACT wazalendo, CAG amewatambua

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,546
Ripoti ya CAG imeainisha kuwa katika vyama vya siasa 22 vyenye usajili wa kudumu, ni chama kimoja tu cha siasa kilichopeleka hesabu katika kipindi cha miezi 6.

Sote tunafahamu kuwa ni ACT wazalendo pekee walioweka hesabu zao wazi, na wakawa wanasubiri uthibitisho wa CAG. Hiki ni chama kinachoonesha kuwa kinasimamia nidhamu na uadilifu, na kinaonesha uwazi kuanzia chamani na huenda mpaka ikiwezekana serikalini.

Kuna vyama havijawahi kuonesha utofauti na CCM, ukiuliza wafuasi wake watakujibu " Mbona CCM nayo inafanya hivyo"

Mwenye akili atanielewa ni nini namaanisha.

Heko ACT wazalendo, mmeonesha mfano
 
Ripoti ya CAG imeainisha kuwa katika vyama vya siasa 22 vyenye usajili wa kudumu, ni chama kimoja tu cha siasa kilichopeleka hesabu katika kipindi cha miezi 6.

Sote tunafahamu kuwa ni ACT wazalendo pekee walioweka hesabu zao wazi, na wakawa wanasubiri uthibitisho wa CAG. Hiki ni chama kinachoonesha kuwa kinasimamia nidhamu na uadilifu, na kinaonesha uwazi kuanzia chamani na huenda mpaka ikiwezekana serikalini.

Kuna vyama havijawahi kuonesha utofauti na CCM, ukiuliza wafuasi wake watakujibu " Mbona CCM nayo inafanya hivyo"

Mwenye akili atanielewa ni nini namaanisha.

Heko ACT wazalendo, mmeonesha mfano
Ni wazalendo na waadilifu. Hongera zao...
 
Promo poa, kwani vipi hata CCM hawajatambuliwa na CAG? Nadhani hatutawasiki uvccm wakijadiri hii hoja
 
Du, report ya CAG ni ya mwaka 2014/15...... shirikisha akili kidogo tu utaona unaongea aina gani ya kimiminika
 
Du, report ya CAG ni ya mwaka 2014/15...... shirikisha akili kidogo tu utaona unaongea gani ya kimiminika
Acha upayukaji, soma andiko uelewe, Dr Mashinji ana kazi kubwa sana
 
Ripoti ya CAG imeainisha kuwa katika vyama vya siasa 22 vyenye usajili wa kudumu, ni chama kimoja tu cha siasa kilichopeleka hesabu katika kipindi cha miezi 6.

Sote tunafahamu kuwa ni ACT wazalendo pekee walioweka hesabu zao wazi, na wakawa wanasubiri uthibitisho wa CAG. Hiki ni chama kinachoonesha kuwa kinasimamia nidhamu na uadilifu, na kinaonesha uwazi kuanzia chamani na huenda mpaka ikiwezekana serikalini.

Kuna vyama havijawahi kuonesha utofauti na CCM, ukiuliza wafuasi wake watakujibu " Mbona CCM nayo inafanya hivyo"

Mwenye akili atanielewa ni nini namaanisha.

Heko ACT wazalendo, mmeonesha mfano
Unawasema chadema badala ya kuwasema wanaokuongoza kwa sasa,una akili kweli au ujinga unakusumbua.
 
Wewe inakuhusu nini?ninyi fuatilieni yenu pesa zenu za kampeni mlipewa na mafisadi
mh.. jamaa wew ni mjinga kweli hivi leo lowasa angehamia ACT mngesemaje kweli mnafiki ni mtu mmbaya sana
 
mh.. jamaa wew ni mjinga kweli hivi leo lowasa angehamia ACT mngesemaje kweli mnafiki ni mtu mmbaya sana
Lowassa alikaribishwa Act kwa masharti kwamba anatakiwa ku declare mali zake akaulaza .Act hawataki ujanja ujanja na njia za mkato kufika ikulu
 
Back
Top Bottom