Picha inaonyesha brand mkuu, ni Sony Hilo tatizo nimekosa muda Ila ni dogo saanaMkuu, kwanini hujaainisha jina la hiyo home theatre?
By then huoni ingekuwa busara hilo tatizo kidogo ungelirekebisha ili kupunguza dosari zitakazopelekea uthabiti wa bei ya bidhaa yako