Hoja za Dr. Slaa Siyo Rocket Science!

Mleta mada umeangalia upande mmoja tu. Kitu ambacho hujagundua ni kuwa ni lazima mwanasiasa azungumze lugha inayoeleweka kwa watu anaowatetea. Hivi anayozungumzia Dr Slaa ndio kero halisi za wananchi na kwa kusema hivyo anazungumza lugha inayowaelea.

Kuzungumza data, takwimu za uchumi na mambo yanayofanana na hayo si majukwaani, ni kwenye makongamano, warsha, na kn
 

Naona bado unaota so better Rudi kulala
 


Hivi mnajua maana ya chama cha upinzani?
Guys duu mbona weupe hvyo?
mahaba na chama au ndo hamna kitu kichwani?
So shame
 
hoja kubwa aliyonayo na ambayo ni ya msingi sana ni kutokomeza ccm .
 
mkuu sio yeye aliyesema elimu bure,kupunguza vifaa vya ujenz?....atakula mihogo ikulu,kuanza mchakato wa katiba ndani ya siku mia moja akichaguliwa,mishhara ama ushasahau?
 
Dk.slaa kaahasi kanisa kaenda kumtumikia kaisari asahau uraisi ww ulikua unambipu,,,ulikiri kwa ulimi kua utakua mwaminifu kwake kumtumikia katika upadrii leo umeutupa aisee,,,
 

kwa hyo ultaka atoe mbinu kwa adui? Acha ujnga ww...
 
Naona bado unaota so better Rudi kulala

Mkuu utaongea sana ila in the end ull realize nothing changes mwaka huu...
Ningependa kuona upinzani wanashinda though sio likely kabisa.. Sasa wewe endelea kubisha huku huna kitu chochote ku-back you up nakushangaa sana.
 
Sasa hapo kosa langu liko wapi mimi kusoma Shule unazoziita za Kata, si ndiyo shule ambazo nchi yangu imezijenga na ndio Elimu ambayo nchi yangu inatoa? Ulitaka nisome wapi ndio nifit kwenye hiyo standard yako?

Ok usikonde mshirika; ndio maana tunataka mabadiliko ya msingi (fundamental changes) kabisa ili tuanze safari ya kuondokana na hayo mapungufu tuliyolishwa na chama kichovu CCM, Elimu bora na sio bora elimu!!! huduma za afya bora sio utitiri wa hospitali na zahanati zisizokuwa na waganga, manesi na dawa!! huduma ya maji salama sio mabomba yanayotoa kutu badala ya maji!! kurudisha misingi ya uadilifu katika utumishi wa umma na sio watumishi wanaotafuta na kutengeneza mianya ya wizi na ufisadi wakati wote!! Umma wa watanzania unaosifia mtu anayetajirika kupitia jasho lake halali badala ya kuwasifia wezi na mafisadi waliojitajirisha kwa kufisidi mali ya umma! jiunge na Gari kubwa la VUGUVUGU LA MABADILIKO YA MSINGI; UKAWA FOR FUNDAMENTAL CHANGE!
 
Umeongea ujinga, tafuta ilani ya CDM ya mwaka 2010, chukua na ya CCM 2010 zisome, halafu zifananishe ndio utajua tifauti yake. Maana umechukua CCM kama taasisi, ukaifananisha na Dr Slaa. Umechemsha ndugu yetu.
 
umetoa hoja nzuri, mbaya zaidi UKAWA wanajinadi lengo lake kuing'oa ccm, kumbe watakavyotimiza hilo wanwza wasiwe na cha kufanya kwa kuwa wanamkakati mmoja tu kuionoa ccm madarakani.
 
Hiyo ilani siyo wote wamesoma, tulitegemea ktk mikutano watueleze watanzania mikakati iliyopo katika ilani hiyo.
 
dr slaa anaongea vitu wanavyo kutana navyo watanzania kila siku mfano leo tunaambiwa uchumi wetu umekua ni kweli bt umekuwa ktk secta ambayo wengi hawanufaiki nayo the measure of intelligence is the ability to change na change huwa inaanzia kwa wengi na ndio Dr slaa anawalenga
 
mkuu sio yeye aliyesema elimu bure,kupunguza vifaa vya ujenz?....atakula mihogo ikulu,kuanza mchakato wa katiba ndani ya siku mia moja akichaguliwa,mishhara ama ushasahau?

Amesha sahau, hana kumbu kumbu kbsaaa. sasa kwanini asiwe mateka wa kijani?
 
Zitaje nchi hizo. Anza na Kenya . rudi tulipotoka kisha jiulize tulipaswa kuwa hapa?. Naomba nikukumbushe " kulijua tatizo ni hatua ya kwanza kulitatua".

Zambia wakati WA Chiluba na Malawi walijuta kwa nini walimtoa Banda
 
Hiyo ilani siyo wote wamesoma, tulitegemea ktk mikutano watueleze watanzania mikakati iliyopo katika ilani hiyo.

Ni kweli ni vema kwa sisi tusiokuwa na muda tukaambiwa through majukwaa. Hiyo ya Ccm yentewe siijui lakini ninaona Ni bora zimwi nilijualo kuliko hawa ambao siwajui. Na ukizingatia kwa sasa wahuni WA mtaani wameshasoma upepo kwamba Chadema ndio iko vizuri eti ndio makada na viongozi. Yaani sijui tunaenda wapi. Yawezekana katika ngazi ya Taifa wamejipanga ILA huko ngazi za chini bado hawaaminiki.
 

Uache kukurupuka mkuu, hizo siasa unafuatilia ukiwa gerezani?
 
5. Waliosema tutajenga Chuo kikuu Dodoma, pia kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa kitovu cha elimu ni nani. Ma-CCM wakaiba wazo hilo,maana halikuwepo kwenye ilani yao
 
mkuu utaongea sana ila in the end ull realize nothing changes mwaka huu...
Ningependa kuona upinzani wanashinda though sio likely kabisa.. Sasa wewe endelea kubisha huku huna kitu chochote ku-back you up nakushangaa sana.
its either u be part of the changes u want
or u shut the f.u.c.k up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…