Nilijua lazima kuna kitu kitatokea kabla ya uchaguzi kuhakikisha vyama vya upinzani vyote vinasambaratika ovyo na naona imetokea kweli, CDM walivuma sana mwaka jana na upepo wote ulikua umehamia kwao, CCM walikua wanaonekana ovyo sana ila mambo yalivobadilika, sasa Magufuli anawaka si mchezo, CDM haina mwelekeo, ACT nacho kimekuja kuvuruga watu wa upinzani wanahama ovyo, in short ni kwamba Magufuli mwaka huu anabeba urais kwa kura zaidi ya 80%, viti vya CDM navyo vitapungua kwa kasi sana bunge lijalo. Unless wawe na a card to play kuturn everything around huu muda uliobaki which is next to impossible.
Tangu nimeanza kufuatilia Upinzani Tanzania hasa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA kupitia nyota wao Bw.Slaa sijawahi kusikia hata siku moja akisema atafanya nini tofauti na CCM zaidi ya kukosoa tu!
Kwa mfano hapa juzi nilimsikia akisema siku hizi WatanZania hawali nyama, mara akasema wengi wetu (Watz) hatunywi chai asubuhi kwa sababu hatuwezi kununua chai jambo ambalo ni kweli lkn mbona kila Mtz analijua hili?
Hata mtoto wa Shule ya msingi anajua kwamba kuna Watz wengi hawawezi kununua nyama, kitu ambacho nimekikosa kwake ni kwamba suluhisho lake ni lipi? Yaani yeye (CHADEMA) watatua vipi hilo tatizo?
Utasikia mtoto anamaliza Shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika mara Hospitali hakuna Dawa sijui tunapoteza masaa matatu barabarani kwenye foleni anaongea kana kwamba amegundua Sayari mpya na sasa anatuarifu...
Ni kweli wao ni kutaja kasoro za watu lakini sijasikia ahadi yeyote ya kuondoa kero za watanzania kama ni jinsi gani elimu itaboreshwa, kuondoa kero ya foleni ambayo inaligharimu taifa hili kuliko kawaida. Nataka kusikia kuimarishwa miundombinu hasa reli na bandari. Uchumi wa nchi, Maisha na kipato cha mtanzania wa kawaida kitaboreshwa vip kwa kutumia rasilimali zetu za ndani( kwani wenzetu Rwanda na Kenya wameweza). Ndio ninataka kusikia sio huyu kazaa na fulani, huyu kaiba je tuna uhakika gani wewe hutaiba? Tunataka mtuambie kwa kweli nchi hii iko hoi sana
tangu nimeanza kufuatilia upinzani tanzania hasa chama kikuu cha upinzani chadema kupitia nyota wao bw.slaa sijawahi kusikia hata siku moja akisema atafanya nini tofauti na ccm zaidi ya kukosoa tu!
Kwa mfano hapa juzi nilimsikia akisema siku hizi watanzania hawali nyama, mara akasema wengi wetu (watz) hatunywi chai asubuhi kwa sababu hatuwezi kununua chai jambo ambalo ni kweli lkn mbona kila mtz analijua hili?
Hata mtoto wa shule ya msingi anajua kwamba kuna watz wengi hawawezi kununua nyama, kitu ambacho nimekikosa kwake ni kwamba suluhisho lake ni lipi? Yaani yeye (chadema) watatua vipi hilo tatizo?
Utasikia mtoto anamaliza shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika mara hospitali hakuna dawa sijui tunapoteza masaa matatu barabarani kwenye foleni anaongea kana kwamba amegundua sayari mpya na sasa anatuarifu...
Naona bado unaota so better Rudi kulala
Sasa hapo kosa langu liko wapi mimi kusoma Shule unazoziita za Kata, si ndiyo shule ambazo nchi yangu imezijenga na ndio Elimu ambayo nchi yangu inatoa? Ulitaka nisome wapi ndio nifit kwenye hiyo standard yako?
mkuu sio yeye aliyesema elimu bure,kupunguza vifaa vya ujenz?....atakula mihogo ikulu,kuanza mchakato wa katiba ndani ya siku mia moja akichaguliwa,mishhara ama ushasahau?
Zitaje nchi hizo. Anza na Kenya . rudi tulipotoka kisha jiulize tulipaswa kuwa hapa?. Naomba nikukumbushe " kulijua tatizo ni hatua ya kwanza kulitatua".
Hiyo ilani siyo wote wamesoma, tulitegemea ktk mikutano watueleze watanzania mikakati iliyopo katika ilani hiyo.
Tangu nimeanza kufuatilia Upinzani Tanzania hasa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA kupitia nyota wao Bw.Slaa sijawahi kusikia hata siku moja akisema atafanya nini tofauti na CCM zaidi ya kukosoa tu!
Kwa mfano hapa juzi nilimsikia akisema siku hizi WatanZania hawali nyama, mara akasema wengi wetu (Watz) hatunywi chai asubuhi kwa sababu hatuwezi kununua chai jambo ambalo ni kweli lkn mbona kila Mtz analijua hili?
Hata mtoto wa Shule ya msingi anajua kwamba kuna Watz wengi hawawezi kununua nyama, kitu ambacho nimekikosa kwake ni kwamba suluhisho lake ni lipi? Yaani yeye (CHADEMA) watatua vipi hilo tatizo?
Utasikia mtoto anamaliza Shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika mara Hospitali hakuna Dawa sijui tunapoteza masaa matatu barabarani kwenye foleni anaongea kana kwamba amegundua Sayari mpya na sasa anatuarifu...
5. Waliosema tutajenga Chuo kikuu Dodoma, pia kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa kitovu cha elimu ni nani. Ma-CCM wakaiba wazo hilo,maana halikuwepo kwenye ilani yao1. Waliotoa hoja ya kuwa katiba ya sasa ni mbovu na inatakiwa ibadilishwe ni akina nani?
2. Waliosema elimu Shule ya Msingi na Secondary itakuwa Bure ni akina nani?
3. Waliosema ili kila mtanzania awe na nyumba bora watasababisha kupungua kwa bei ya vifaa vya ujenzi ikiwemo Cement kwa mfuko kuuzwa kwa Tsh 5000 kwa kuwaondolea au kupunguza kodi kwa bidhaa hizo ni akina nani?
4. Waliosema watahakikisha Rasilimali zote zilizotaifishwa na CCM ambazo zilijengwa na wananchi wote kabla ya mfumo wa vyama vingi vikiwemo viwanja vingi ya michezo ni akina nani?
its either u be part of the changes u wantmkuu utaongea sana ila in the end ull realize nothing changes mwaka huu...
Ningependa kuona upinzani wanashinda though sio likely kabisa.. Sasa wewe endelea kubisha huku huna kitu chochote ku-back you up nakushangaa sana.
its either u be part of the changes u want
or u shut the f.u.c.k up!