Ni kweli wao ni kutaja kasoro za watu lakini sijasikia ahadi yeyote ya kuondoa kero za watanzania kama ni jinsi gani elimu itaboreshwa, kuondoa kero ya foleni ambayo inaligharimu taifa hili kuliko kawaida. Nataka kusikia kuimarishwa miundombinu hasa reli na bandari. Uchumi wa nchi, Maisha na kipato cha mtanzania wa kawaida kitaboreshwa vip kwa kutumia rasilimali zetu za ndani( kwani wenzetu Rwanda na Kenya wameweza). Ndio ninataka kusikia sio huyu kazaa na fulani, huyu kaiba je tuna uhakika gani wewe hutaiba? Tunataka mtuambie kwa kweli nchi hii iko hoi sana