Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,919
- Thread starter
- #21
Kama serikali inashindwa kudai deni la mtu mmoja mbowe basi ni dhaifu sana. Yaani mtu kulipa deni mpaka aambiwe na wengine wakati serikali inayomdai ipo.Majizi chadema mwambieni Mbowe alipe Deni la Nhc na pia alipe wafanyakazi wa gazeti la Tanzania daima.
Mwambieni aache maigizo ya kukata, funua na kushika ukuta