Hodi hodi wanachitchat!!

Karibu sana shabiki huku utakutana na wake zangu Madame B , mama yangu Mamndenyi ama Mrs Bishanga ama sijamaanisha hivo hao wote na SECRETARY ni mamrs thesecretary Bishanga
salamu kwako The secretary ila kumbuka
I SUPPORT ISRAEL


 
Last edited by a moderator:
Hodi hodi jamani, nimesikia makelele nikasema ngoja nisogee niulize kulikoni, kumbe! Huku maraha tu. Naombeni mnipokee.
 
Umeamua kuingia katikati
kweli u mkali;
Mtafute mkaguzi anaitwa Asprin ili akupe kadi ya kuingia humu
Karibu mwaya.

Hodi hodi jamani, nimesikia makelele nikasema ngoja nisogee niulize kulikoni, kumbe! Huku maraha tu. Naombeni mnipokee.
 
Last edited by a moderator:
Mi pia mgeni naombeni mwongozo.manake naona kuna wengine wamenadi kuwa kuna vimwana ambao wapo tayari tayari......
 
Ndicho kilicho kuleta huku, vimwana hata kukaribishwa bado umeshaonyesha hisia zako. Mhhh sijui tusubiri wakubwa zetu tuone watakavyo kupokea.
 
chocs kuna raia aliwahi kusema humu kuwa ile 52 kwenye avator yake ni idadi ya dates wake!kama mi mwongo mwite mwenyewe aje aseme!
.......weeeeeeee komaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…