M MCHUNGAJI D New Member Joined Sep 30, 2010 Posts 1 Reaction score 0 Sep 30, 2010 #1 Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana
Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,926 Sep 30, 2010 #2 MCHUNGAJI D said: Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana Click to expand... Du!
MCHUNGAJI D said: Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana Click to expand... Du!
Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,184 Sep 30, 2010 #3 MCHUNGAJI D said: Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana Click to expand... Ya leo kali (weka nusu)
MCHUNGAJI D said: Salamu sana wakuu, nawasalimu katika jina Muumba wetu. Nimekuja kushiriki katika kazi hii nje ya kujenga Taifa letu. Niko tayari kuwaongoza sala ya toba viongozi wote mafisadi watakaotubu. Ahsanteni sana Click to expand... Ya leo kali (weka nusu)
Lady N JF-Expert Member Joined Nov 1, 2009 Posts 1,914 Reaction score 134 Sep 30, 2010 #4 another pasta in nze house, :welcome:
KakaKiiza Platinum Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,945 Reaction score 9,458 Oct 1, 2010 #5 Karibu mchungaji lakini usije ukala kondoo unaowachunga!! Wasije kuungama kwako wewe uka-take advantage
Karibu mchungaji lakini usije ukala kondoo unaowachunga!! Wasije kuungama kwako wewe uka-take advantage