Hodi hodi Shinyanga

Hodi hodi Shinyanga

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,202
Reaction score
11,351
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?
 
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?
Hili ni poyoyo au kituko gani. Shinyanga kuna ziwa gani hadi kuwe na bichi ???

BURE KABISA WEWE
 
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?

njoo Songwa Sailing Club. iko maeneo ya mwadui. au recreation na swimming pool mwadui mgodini. wengi huwa hawazijui hizi sehemu. I'm sure uta enjoy Sana
 
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?

Unaulizia beach jangwani..!
 
Tulia garden pub au Bakurutu kuna live bendi. Ila chunga mkeo akiwa anaenda chooni. Kuna watu hawatongozi wana msalimia tu na kumtuma muhudumu anampa laki na namba ya simu juu ya noti au tishu pepa. AMELIWA HUYOOO.
 
njoo Songwa Sailing Club. iko maeneo ya mwadui. au recreation na swimming pool mwadui mgodini. wengi huwa hawazijui hizi sehemu. I'm sure uta enjoy Sana

Umenikumbusha longtime sana mambo ya recreation, kule compound bado papo?
 
Back
Top Bottom