Wewe ulitaka kila Mkoa uwe na beach?hakuna beach ila kna vumbi,kna resort za uongo na kwel,fka pale serenget karb na stand
Hili ni poyoyo au kituko gani. Shinyanga kuna ziwa gani hadi kuwe na bichi ???Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?
Sa si ndo maana kauliza jamani na kasema sio mwenyeji heeeHili ni poyoyo au kituko gani. Shinyanga kuna ziwa gani hadi kuwe na bichi ???
BURE KABISA WEWE
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?
Sa si ndo maana kauliza jamani na kasema sio mwenyeji heee
Heri ya Eid. mimi na familia yangu tumependelea mji shinyanga kwa ajili ya mapumziko ya skukuu. japo si wenyeji. Hivyo basi kwa wenyeji wa mji wa shinyanga. ni maeneo yapi yanafaa kukuaa na familia na kupunga upepo..je kuna bichi hapo.?
Dah umsalimie dada mmoja hapo stand yaan anakalio sijapata ona afrika mashariki na kati
Dah umsalimie dada mmoja hapo stand yaan anakalio sijapata ona afrika mashariki na kati
nipe namba yake
njoo Songwa Sailing Club. iko maeneo ya mwadui. au recreation na swimming pool mwadui mgodini. wengi huwa hawazijui hizi sehemu. I'm sure uta enjoy Sana