Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 628
- 93
Huu mgao waumeme ambao tena kwasasa hauna ratiba wala taarifa utamalizwa lini katika nchi hii?Inafikia hata watu wao wamapokezi wanajichanganya kujibu! Unapiga wanakwambia tatizo ninguzo unakaa dakika chache wanakwambia kunawaya umekatika!Wamesahau/wanashindwa kujua kumbe niyuleyule ulie uliza mwanzo!Sasa simu zao zadharula wanazima!Ukikatika tu umeme wanazima simu au ukipiga inakuwa bize mpaka umeme urudi!Hivi wao Tanesco wanajisikiaje?Watujibu maana baadhi yao niwana JF!AU KUNA TENDA YAKUUZA SOLA NAJENERETA ZA UCHINA?Mtujuze!