Bob bravo
Member
- Sep 29, 2013
- 30
- 5
Naona shughuli za uchumi zimeandikwa takribani 45% watu wanazungumzia siasa Je tutafika? Vipi matumaini tunayojipa iwapo tutafeli nini kitatokea? Tafakari iwapo Lowasa ataingia ikulu ama hatofanikiwa nini kitatokea , Wapi nafasi ya Rais mstaafu Iwapo inchi ataiweka mikono I mwa wapinzani? Tafakari