Hizi siasa mwaka huu zitatuua

Hizi siasa mwaka huu zitatuua

Bob bravo

Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
30
Reaction score
5
Naona shughuli za uchumi zimeandikwa takribani 45% watu wanazungumzia siasa Je tutafika? Vipi matumaini tunayojipa iwapo tutafeli nini kitatokea? Tafakari iwapo Lowasa ataingia ikulu ama hatofanikiwa nini kitatokea , Wapi nafasi ya Rais mstaafu Iwapo inchi ataiweka mikono I mwa wapinzani? Tafakari
 
Kwa hiyo bora tuishi miaka mingine 50 huku sekta za chakula,mafuta,usafiri,afya,elimu,kilimo na nishati zikitaabika??
Deni la taifa lilikuwa trillioni 8 Mkapa akiachia ngazi na sasa hivi limepanda hadi trillioni 35 Jk anapostaafu.we unaona sawa??
Shillingi inaporomoka kuliko heshima na maadili kwa watumishi na maofisa wa umma..is this tolerable??
Jamani tusiogope mabadiliko...mabadiliko ndo chachu ya maendeleo.
Fikiri na wewe.
 
Kwa hiyo bora tuishi miaka mingine 50 huku sekta za chakula,mafuta,usafiri,afya,elimu,kilimo na nishati zikitaabika??
Deni la taifa lilikuwa trillioni 8 Mkapa akiachia ngazi na sasa hivi limepanda hadi trillioni 35 Jk anapostaafu.we unaona sawa??
Shillingi inaporomoka kuliko heshima na maadili kwa watumishi na maofisa wa umma..is this tolerable??
Jamani tusiogope mabadiliko...mabadiliko ndo chachu ya maendeleo.
Fikiri na wewe.
wapenzi wa CCM Hili hawawezi kuliona... Wametiwa upofu.. Ingawa shida hata na wao zinawapata lakini hawataki kubadilika.. Sijui wamelogwa
 
Kwa hiyo bora tuishi miaka mingine 50 huku sekta za chakula,mafuta,usafiri,afya,elimu,kilimo na nishati zikitaabika??
Deni la taifa lilikuwa trillioni 8 Mkapa akiachia ngazi na sasa hivi limepanda hadi trillioni 35 Jk anapostaafu.we unaona sawa??
Shillingi inaporomoka kuliko heshima na maadili kwa watumishi na maofisa wa umma..is this tolerable??
Jamani tusiogope mabadiliko...mabadiliko ndo chachu ya maendeleo.
Fikiri na wewe.

Kwahiyo lowasa ndio atakuja kubadiirisha upepo?
 
Naona shughuli za uchumi zimeandikwa takribani 45% watu wanazungumzia siasa Je tutafika? Vipi matumaini tunayojipa iwapo tutafeli nini kitatokea? Tafakari iwapo Lowasa ataingia ikulu ama hatofanikiwa nini kitatokea , Wapi nafasi ya Rais mstaafu Iwapo inchi ataiweka mikono I mwa wapinzani? Tafakari
Kwa hiyo kwa maoni yako tuirudishe CCM madarakani tena, au siyo?
 
Kwa hiyo bora tuishi miaka mingine 50 huku sekta za chakula,mafuta,usafiri,afya,elimu,kilimo na nishati zikitaabika??
Deni la taifa lilikuwa trillioni 8 Mkapa akiachia ngazi na sasa hivi limepanda hadi trillioni 35 Jk anapostaafu.we unaona sawa??
Shillingi inaporomoka kuliko heshima na maadili kwa watumishi na maofisa wa umma..is this tolerable??
Jamani tusiogope mabadiliko...mabadiliko ndo chachu ya maendeleo.
Fikiri na wewe.
Well said.
 
Naona shughuli za uchumi zimeandikwa takribani 45% watu wanazungumzia siasa Je tutafika? Vipi matumaini tunayojipa iwapo tutafeli nini kitatokea? Tafakari iwapo Lowasa ataingia ikulu ama hatofanikiwa nini kitatokea , Wapi nafasi ya Rais mstaafu Iwapo inchi ataiweka mikono I mwa wapinzani? Tafakari
Acha woga, acha woga! na epuka sweeping statements. Sema siasa zitakuua wewe usiwaweke wengine jisemee wewe
 
Back
Top Bottom