Hizi ndo facults zinazosumbua kwa market sasa,

Mkuu mwenzako akipiga project 1 anaweza pata hadi 50m akipiga project 5? Huyo mwenzako??

Sio rahisi kama unavyofikiri mdogo wangu, kuwa project manager lazima uwe na experience iliyoshiba na mara nyingi wanapendelea watu wa masters ambao pia wana record ya kusimamia projects kadhaa.

Ili kukusaidia taaluma ya kusomea degree inategemea na mchepuo gani umemaliza kidato cha sita na matokeo uliyopata kuanzia hapo atleast tunaweza kujadil ni taaluma ipi itakufaa.
 
Kozi ambayao inalipa na unaweza kufanya kazi sehemu yoyote duniani na ndio kozi zinazotoa mabilionea wengi katika umri mdogo ni

1.Software Engineering
2.Computer Engineering
3.Computer Science

Yaani kama ukiwa deep katika hizo kozi,sometimes unaweza ukakataa hata kuajiriwa,ukafungua kampuni yako.
 
Hii ni research nlofanya alone, Unajua Elimu ya sasa imekuwa kama Biashara kuna kipindi facult flan huwa inatrend sana kisha inapotea mfano kuna wale watu wa petroleum enzi flan walitikisa kila mtu akaenda soma lakin sahv hamna kitu. Wengi tunavoenda chuo huwa hatufany research ya facult nzuri za kusoma mwsho wa siku tunajikuta tunasoma facult ambazo zko nje na taalum ako au ambayo hata hujawai fikiria.

Facult au course ambazo kwa sasa sina market kwenye organisations na taasisi mbalimbali nchini both gvt and privates, ambazo kwa sasa naona hawa watu wanahitajika sana na weng wanakula mashavu
1.Statistics
Hii course wengi tunaichulia lowkey sana kumbe hawa watu wanapata mashavu sana. Kwenye statistics kuna bachelor of science/arts in statistics, mtu aliesoma science in stats hapa atabase sana na maths+stats ila wa arts in stats huyu atabase sana na social sciences kama Economics etc.

Tunakuja jiuliza hawa watu wanafanya kazi gan hasa?? Watakwimu wanafanya kaz kwenye Organization au company yoyote ile hawa wanadeal na planning, projects, research, economics investment, data management etc
Ambapo unaona wanaweza fit everywhere. Pia wanawza tumika kama business analysts kwenye banks. Naishia hapa ukitaka zaid nenda google

02. Project Planning & management
Hii course nayo ipo vzr watu wa projects wanahitajika sana kwenye kudevelop proposals, kufanya monitoring etc, hawa wwngi huwa ni maproject manager or coordinators, Hawa wanafanya kazi Organization yyte ile kwenye Planning, Research, projects etc

03. IT/computer technology/ software etc
Hawa nao wapo kwenye market sana jaman na kazi zao zinatangazwa sana piaa

04. Economics
05. Mathematics
06. Procurement, logistics
07. Finance

Kama zipo zingine embu fanyeni kutupia ili watu tuwe na uelewa wa facult muhim za kusoma.


NAONGEZA MKAZO HAPO.. IT/COMPUTER SCIENCE NI DEAL SANA...
 
Hii ni research nlofanya alone, Unajua Elimu ya sasa imekuwa kama Biashara kuna kipindi facult flan huwa inatrend sana kisha inapotea mfano kuna wale watu wa petroleum enzi flan walitikisa kila mtu akaenda soma lakin sahv hamna kitu. Wengi tunavoenda chuo huwa hatufany research ya facult nzuri za kusoma mwsho wa siku tunajikuta tunasoma facult ambazo zko nje na taalum ako au ambayo hata hujawai fikiria.

Facult au course ambazo kwa sasa sina market kwenye organisations na taasisi mbalimbali nchini both gvt and privates, ambazo kwa sasa naona hawa watu wanahitajika sana na weng wanakula mashavu
1.Statistics
Hii course wengi tunaichulia lowkey sana kumbe hawa watu wanapata mashavu sana. Kwenye statistics kuna bachelor of science/arts in statistics, mtu aliesoma science in stats hapa atabase sana na maths+stats ila wa arts in stats huyu atabase sana na social sciences kama Economics etc.

Tunakuja jiuliza hawa watu wanafanya kazi gan hasa?? Watakwimu wanafanya kaz kwenye Organization au company yoyote ile hawa wanadeal na planning, projects, research, economics investment, data management etc
Ambapo unaona wanaweza fit everywhere. Pia wanawza tumika kama business analysts kwenye banks. Naishia hapa ukitaka zaid nenda google

02. Project Planning & management
Hii course nayo ipo vzr watu wa projects wanahitajika sana kwenye kudevelop proposals, kufanya monitoring etc, hawa wwngi huwa ni maproject manager or coordinators, Hawa wanafanya kazi Organization yyte ile kwenye Planning, Research, projects etc

03. IT/computer technology/ software etc
Hawa nao wapo kwenye market sana jaman na kazi zao zinatangazwa sana piaa

04. Economics
05. Mathematics
06. Procurement, logistics
07. Finance

Kama zipo zingine embu fanyeni kutupia ili watu tuwe na uelewa wa facult muhim za kusoma.
I am statistian, umesema kweli statistic hasa official statistics unapiga kazi popote
 
Mbona mnataja courses mbalimbali ila sijasikia mkitaja kozi ya Tourism Management!. Bonge la shavu... Au hamuelewi??
 
Umu kila mtu amesoma language na lugha
Ukikosea sentensi ndo utajua ilo.

Kwaiyo vijana wakasome lugha inasoko ndani na njee ya nchi

Ila angalia msije kujiajiri JF
 
Kijana kasome Medical doctor, Lab technician, Pharmacy and Nursing & mMidwife hutojuta katika maisha yako kati ya hizo course
 
Tuliopiga hifadhi za jamii mnatuchukuliaje aisee yaani tupo kwenye mifuko ya jamii mshahara mzuri
Nashauri vijana wasome koz bado tunahitaji wataalamu
Hii ni research nlofanya alone, Unajua Elimu ya sasa imekuwa kama Biashara kuna kipindi facult flan huwa inatrend sana kisha inapotea mfano kuna wale watu wa petroleum enzi flan walitikisa kila mtu akaenda soma lakin sahv hamna kitu. Wengi tunavoenda chuo huwa hatufany research ya facult nzuri za kusoma mwsho wa siku tunajikuta tunasoma facult ambazo zko nje na taalum ako au ambayo hata hujawai fikiria.

Facult au course ambazo kwa sasa sina market kwenye organisations na taasisi mbalimbali nchini both gvt and privates, ambazo kwa sasa naona hawa watu wanahitajika sana na weng wanakula mashavu
1.Statistics
Hii course wengi tunaichulia lowkey sana kumbe hawa watu wanapata mashavu sana. Kwenye statistics kuna bachelor of science/arts in statistics, mtu aliesoma science in stats hapa atabase sana na maths+stats ila wa arts in stats huyu atabase sana na social sciences kama Economics etc.

Tunakuja jiuliza hawa watu wanafanya kazi gan hasa?? Watakwimu wanafanya kaz kwenye Organization au company yoyote ile hawa wanadeal na planning, projects, research, economics investment, data management etc
Ambapo unaona wanaweza fit everywhere. Pia wanawza tumika kama business analysts kwenye banks. Naishia hapa ukitaka zaid nenda google

02. Project Planning & management
Hii course nayo ipo vzr watu wa projects wanahitajika sana kwenye kudevelop proposals, kufanya monitoring etc, hawa wwngi huwa ni maproject manager or coordinators, Hawa wanafanya kazi Organization yyte ile kwenye Planning, Research, projects etc

03. IT/computer technology/ software etc
Hawa nao wapo kwenye market sana jaman na kazi zao zinatangazwa sana piaa

04. Economics
05. Mathematics
06. Procurement, logistics
07. Finance

Kama zipo zingine embu fanyeni kutupia ili watu tuwe na uelewa wa facult muhim za kusoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom