Mwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa
basi wewe una roho nzuri, kibongobongo wamama ndio wanaoongoza kupiga watoto hasa kama ni wa kamboMwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa
Aisayee wamama mnajua kuleea na kutunza..... ila wanaume!!Relax man
hao hapo wanafanya nini?Aisayee wamama mnajua kuleea na kutunza..... ila wanaume!!
Hao wanaShangilia malezi ya taifa lao...!! limewacha nusu uchi....hao hapo wanafanya nini?
Mimi nina uhakika wengi wetu hatujalelewa na baba kabisa lakini tupo vizuri, familia nyingi za ki afrika baba huwa halei mtoto na wengine unakuta hajui hata jina la ubatizo la mtoto wake, lakini wanakuwa wazuri tu na wa kujitegemea japokuwa wamelelewa na mamaUmesema kweli kabisa,ndo maana Mungu hakuweka utaratibu
wa mtu au jinsia moja kuwa na uwezo wa kuzaa mtoto.
alijua malezi yanatofautiana.Mama akimfurahisha mtoto na kumfanya awe
mayai baba amchangamshe mtoto ili ajiandae kupambana na maisha
siku za mbeleni wakati hayuko na wazazi wake.
Kama ningepewa uchaguzi wa kulelewa na mmoja
ningechagua kulelewa na baba,maana hiyo mikiki mikiki ina mwisho
pale unapoyajua maisha na kuanza kuchangamka mwenyewe.
au fuatilia maisha ya watoto waliolelewa na mama wa kambo
utakuta wengi wanajua kujituma,na anaweza kuishi popote
na mtu yeyote.
Hapo wakiwa wote wawili...ila.unadhan ingekua single parennt baba na mama nani bora? Kila mtu ana umuhimu ila single parent kwa faza ni mziigo mitoto inaharibika sana kuliko kwa maza ambae atakulea akiwa peke yake...kwenye pita pita yangu nimegundua hakuna wazazi wapo serious kwa malezi kama wamama ambao wanalea peke yaomaisha ya kukaa na baba yana impact zake baadae sana na huwezi kuyaona wakati huo ndoo maana watu wengi huyachukia lakini malezi ya mama unalelewa mayai sana utayafurahia wakati huo lakini hayana mchango mkubwa kivile kwa maisha yako ya baadae wew unaiba hela unatandikwa na babako ukienda kulala unakuta umefichiwa chakula na mama sindo kubomoa huko malezi mabaya hua yanaanza ya bb na babu ndo yanafuatia ya mama kwa ubaya nakumbka zaman nikiwa mdogo kuna kipindi tulikwama sehemu tupo na family nzima tukiwa tumebeba chakula cha kutufikisha angalau kunakokwenda nilikuwa napenda sana kutembea na mzee japo kunigeuka na kichapo juu ilikuwa ni kugusa tumeenda mpaka centa ya jirani tumerudi tumechoka tulipofika wenzetu wamekula chakula chote tukaambiwa tulijua mtakula huko huko nilitaman nilie nigalegale kwa ubao ghafla mushua akaniita maana alianza kuiona nmechange nilipewa sifa za kijinga kweli maneno mengi but nakumbka machache ''mwanangu sisi wametumalizia wakijua wanaume ko ukitaka uwe mwanaume lazima uvumilie kweli kweli'' hii statemant ipo kichwani mpka leo sio kwa chakula hata mambo huwa nikumbka ndo morali yangu aisee kitu kingine wazaz wa kiume hupenda sana watoto wao kuadopt behavior zao wew ukienda kwa babaako umepigana af ukapigwa utaenda home utatwagwa kichapo kingine lakin ukienda umepigana ukapiga mwenzio utapigwa kuua so la wazaz wakitoka tu utaski mwanangu wew hatari umelitandika lile bonge nyanya kaoge sasa mtanipinga but asilimia kubwa walolelewa na single maza hukua wakinyweshwa sumu pole pole mara baako alinitelekeza ohh sijui nn uongo mwingi lakin mwisho wa siku kumbe mkosefu ni yeye lakin kwa waliokuzwa na baba hakuna kitu kaa hcho tena hutosikia anaweza sikia kwa shangaz zake na ndug lakin c kwa mshua over
kweli mkuu, malezi ya baba ni hovyo kabisaHapo wakiwa wote wawili...ila.unadhan ingekua single parennt baba na mama nani bora? Kila mtu ana umuhimu ila single parent kwa faza ni mziigo mitoto inaharibika sana kuliko kwa maza ambae atakulea akiwa peke yake...kwenye pita pita yangu nimegundua hakuna wazazi wapo serious kwa malezi kama wamama ambao wanalea peke yao
Ushuhuda wa kujishuhudia ni mara chache sana kukuta umezingatiaMimi nina uhakika wengi wetu hatujalelewa na baba kabisa lakini tupo vizuri, familia nyingi za ki afrika baba huwa halei mtoto na wengine unakuta hajui hata jina la ubatizo la mtoto wake, lakini wanakuwa wazuri tu na wa kujitegemea japokuwa wamelelewa na mama