Hizi ndio tofauti kati ya malezi ya baba na mama

Mwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa

Dogo ana umri gani?

Anakuwa kweli amefanya makosa ya hovyo?
 
Mwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa
basi wewe una roho nzuri, kibongobongo wamama ndio wanaoongoza kupiga watoto hasa kama ni wa kambo
baba sio mlezi mzuri sio kwa sababu anapiga watoto, no...sababu ni don't care na muda mwingi anawaza ishu zake kuliko huyo mtoto
 
13466104_1177986842252848_1597388238890824442_n.jpg
13450021_1177987122252820_9222198601511793095_n.jpg
13501913_1177987262252806_4870986731207439820_n.jpg
13407305_1177986952252837_6336114157919257103_n.jpg
13450989_1177986962252836_2663735302203459137_n.jpg
13227131_1177986985586167_5755954687035022509_n.jpg
13310452_1177987068919492_6922349247486247825_n.jpg
13512224_1177987118919487_63054821998307134_n.jpg
13450743_1177986822252850_8985676071208049571_n.jpg
umejua kunivunja mbavuuu
 
baba kakaa kwenye beseni
baba kamning'iniza mtoto ..
hivi kwanini wanaume wasingezaliwa na akina baba?
maaana kina mama wanawazaa lakini hawaigi mfano wao wa malezi
 
Umesema kweli kabisa,ndo maana Mungu hakuweka utaratibu
wa mtu au jinsia moja kuwa na uwezo wa kuzaa mtoto.
alijua malezi yanatofautiana.Mama akimfurahisha mtoto na kumfanya awe
mayai baba amchangamshe mtoto ili ajiandae kupambana na maisha
siku za mbeleni wakati hayuko na wazazi wake.

Kama ningepewa uchaguzi wa kulelewa na mmoja
ningechagua kulelewa na baba,maana hiyo mikiki mikiki ina mwisho
pale unapoyajua maisha na kuanza kuchangamka mwenyewe.
au fuatilia maisha ya watoto waliolelewa na mama wa kambo
utakuta wengi wanajua kujituma,na anaweza kuishi popote
na mtu yeyote.
 
wazee wengi wana show Tough love.........
Nimeipenda hiyo mzee patriotic wa kirusi...
 
Umesema kweli kabisa,ndo maana Mungu hakuweka utaratibu
wa mtu au jinsia moja kuwa na uwezo wa kuzaa mtoto.
alijua malezi yanatofautiana.Mama akimfurahisha mtoto na kumfanya awe
mayai baba amchangamshe mtoto ili ajiandae kupambana na maisha
siku za mbeleni wakati hayuko na wazazi wake.

Kama ningepewa uchaguzi wa kulelewa na mmoja
ningechagua kulelewa na baba,maana hiyo mikiki mikiki ina mwisho
pale unapoyajua maisha na kuanza kuchangamka mwenyewe.
au fuatilia maisha ya watoto waliolelewa na mama wa kambo
utakuta wengi wanajua kujituma,na anaweza kuishi popote
na mtu yeyote.
Mimi nina uhakika wengi wetu hatujalelewa na baba kabisa lakini tupo vizuri, familia nyingi za ki afrika baba huwa halei mtoto na wengine unakuta hajui hata jina la ubatizo la mtoto wake, lakini wanakuwa wazuri tu na wa kujitegemea japokuwa wamelelewa na mama
 
Malezi ya Baba ni ya kukutengeneza kujitegemea,ila tatizo lake anayaharakisha mno. Wakati Mama ni full kudekezwa,athari zake zinaonekena baadae ukubwani unakuwa mzito kujiamulia mambo yako kwa muda muafaka.
 
Ahahahahhahaahah nimecheka sana...hasa hiyo ya dingi kuoanda baiskeli yeye af dogo anaukanyaga
 
maisha ya kukaa na baba yana impact zake baadae sana na huwezi kuyaona wakati huo ndoo maana watu wengi huyachukia lakini malezi ya mama unalelewa mayai sana utayafurahia wakati huo lakini hayana mchango mkubwa kivile kwa maisha yako ya baadae wew unaiba hela unatandikwa na babako ukienda kulala unakuta umefichiwa chakula na mama sindo kubomoa huko malezi mabaya hua yanaanza ya bb na babu ndo yanafuatia ya mama kwa ubaya nakumbka zaman nikiwa mdogo kuna kipindi tulikwama sehemu tupo na family nzima tukiwa tumebeba chakula cha kutufikisha angalau kunakokwenda nilikuwa napenda sana kutembea na mzee japo kunigeuka na kichapo juu ilikuwa ni kugusa tumeenda mpaka centa ya jirani tumerudi tumechoka tulipofika wenzetu wamekula chakula chote tukaambiwa tulijua mtakula huko huko nilitaman nilie nigalegale kwa ubao ghafla mushua akaniita maana alianza kuiona nmechange nilipewa sifa za kijinga kweli maneno mengi but nakumbka machache ''mwanangu sisi wametumalizia wakijua wanaume ko ukitaka uwe mwanaume lazima uvumilie kweli kweli'' hii statemant ipo kichwani mpka leo sio kwa chakula hata mambo huwa nikumbka ndo morali yangu aisee kitu kingine wazaz wa kiume hupenda sana watoto wao kuadopt behavior zao wew ukienda kwa babaako umepigana af ukapigwa utaenda home utatwagwa kichapo kingine lakin ukienda umepigana ukapiga mwenzio utapigwa kuua so la wazaz wakitoka tu utaski mwanangu wew hatari umelitandika lile bonge nyanya kaoge sasa mtanipinga but asilimia kubwa walolelewa na single maza hukua wakinyweshwa sumu pole pole mara baako alinitelekeza ohh sijui nn uongo mwingi lakin mwisho wa siku kumbe mkosefu ni yeye lakin kwa waliokuzwa na baba hakuna kitu kaa hcho tena hutosikia anaweza sikia kwa shangaz zake na ndug lakin c kwa mshua over
Hapo wakiwa wote wawili...ila.unadhan ingekua single parennt baba na mama nani bora? Kila mtu ana umuhimu ila single parent kwa faza ni mziigo mitoto inaharibika sana kuliko kwa maza ambae atakulea akiwa peke yake...kwenye pita pita yangu nimegundua hakuna wazazi wapo serious kwa malezi kama wamama ambao wanalea peke yao
 
Hapo wakiwa wote wawili...ila.unadhan ingekua single parennt baba na mama nani bora? Kila mtu ana umuhimu ila single parent kwa faza ni mziigo mitoto inaharibika sana kuliko kwa maza ambae atakulea akiwa peke yake...kwenye pita pita yangu nimegundua hakuna wazazi wapo serious kwa malezi kama wamama ambao wanalea peke yao
kweli mkuu, malezi ya baba ni hovyo kabisa
 
Mimi nina uhakika wengi wetu hatujalelewa na baba kabisa lakini tupo vizuri, familia nyingi za ki afrika baba huwa halei mtoto na wengine unakuta hajui hata jina la ubatizo la mtoto wake, lakini wanakuwa wazuri tu na wa kujitegemea japokuwa wamelelewa na mama
Ushuhuda wa kujishuhudia ni mara chache sana kukuta umezingatia
vigezo,ushuhuda halisi ni ule unaoshuhudiwa na wengine.
kama kila mtu angejijua madhaifu yake angejirekebisha siku hiyo hiyo.
Ndo maana ni muhimu kukubali kukosolewa maana si rahisi
ukayafahamu mapungufu yako

Wengi waliolelewa na mama peke yake ni walegevu.
na waliolelewa na baba peke yake ni wakakamavu
mpaka inakuwa kero,ndo maana Mungu akaweka
familia iwe na baba na mama,ukiachilia mbali bahati
mbaya zinazosababisha baadhi kukosa mzazi kwa kufiwa.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom