Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,791
- 7,123
Mwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa
Dogo ana umri gani?
Anakuwa kweli amefanya makosa ya hovyo?