chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
- Thread starter
- #41
Fid Q, Diamond, Mwana Fa, marehemu Kanumba, etc...wote hawa walilelewa na mama zao, hawa ni walegevu?Ushuhuda wa kujishuhudia ni mara chache sana kukuta umezingatia
vigezo,ushuhuda halisi ni ule unaoshuhudiwa na wengine.
kama kila mtu angejijua madhaifu yake angejirekebisha siku hiyo hiyo.
Ndo maana ni muhimu kukubali kukosolewa maana si rahisi
ukayafahamu mapungufu yako
Wengi waliolelewa na mama peke yake ni walegevu.
na waliolelewa na baba peke yake ni wakakamavu
mpaka inakuwa kero,ndo maana Mungu akaweka
familia iwe na baba na mama,ukiachilia mbali bahati
mbaya zinazosababisha baadhi kukosa mzazi kwa kufiwa.
au toa mifano yako kuunga hoja yako sio kuongea kwa hisia hapa