Hizi biashara zimevamiwa

Vibanda Vya Chipsi....
Vijiwe Vya Maafisa Usafirishaji(Boda*2)...
Vimatawi Vya Mikopo(Kausha Damu)…...
 
Wanafungua fremu 10....wanao survival ndani ya miezi 6 wanabaki 4 tu... ahahaa
 
Serikali ulitaka ikupe wazo la biashara ama ikuambie usiwe wakala?? Mtu kaamua kwa akili zake timamu afungue fremu wewe unakasirika nini?? Au ulitaka serikali ndio ikenge shopping malls??
 
Kila frem duka kila jengo frem Hadi tunashindwa kwenda kununua kima muuzaji unajuana nae tunajiendea pembezoni...ndio kilichobaki...hizi copy and paste NI hatari nilikuwa na biashara yangu nimeijenga kwa kuchanganya maujuzi kutoka inchi mbalimbali...mshikaji kaja kunisoma kamufua jengo Hilo Hilo ...mfanya kazi wangu nae kapest kafungua jirani alafu kanihama...zimebakia kazi ngumu wasizijua yaani NI hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…