ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,735
- 28,297
Hawezi kuwa baba wa democrasia tena imedhiirikaHapa acha kuangalia maneno ya jukwaani ambayo ni kampeni.
Kikubwa angalia ukabali wake wa maamuzi ya mahakama
Jinsi alivyo ruhusu mahakama iwe huru kutoa uamuzi.
Hapo ndipo democrasia ilipolala.
La alikuwa na uwezo wa kuwashinikiza hata kwa kuateka kama ccm walivyofanya kwa jecha na kuwalazimisha majaji kuamua upande wake.
Hivyo basi bado kinyatta ni baba wa democrasia ambayo tunapaswa kuiga toka kwake si hapa tunaposema eti kuna muhimili uliojichimbia zaidi, wazo dhaifu sana la kiongozi wa nchi kutamka
Mbona unakuwa kipofu kakaUhuru Kenyatta ndie Baba wa Democracia, hata hayo aliyoyazungumza kuhusu Majaji ndio sehemu ya Democrasy yenyewe, kwakuwa ametoa mawazo yake kuhusu hukumu lakini hakuuingilia mchakato wa kuifikia hukumu yenyewe. Majaji hao hawakupewa 'Maagizo kutoka juu!'
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamjua ni nani alimuingizia Chief Justice Maraga KSh. 500,000,000 kwenye akaunti yake siku ya Alhamisi mchana - siku moja kabla ya uamuzi?Hapa acha kuangalia maneno ya jukwaani ambayo ni kampeni.
Kikubwa angalia ukabali wake wa maamuzi ya mahakama
Jinsi alivyo ruhusu mahakama iwe huru kutoa uamuzi.
Hapo ndipo democrasia ilipolala.
La alikuwa na uwezo wa kuwashinikiza hata kwa kuateka kama ccm walivyofanya kwa jecha na kuwalazimisha majaji kuamua upande wake.
Hivyo basi bado kinyatta ni baba wa democrasia ambayo tunapaswa kuiga toka kwake si hapa tunaposema eti kuna muhimili uliojichimbia zaidi, wazo dhaifu sana la kiongozi wa nchi kutamka
kachukue buku saba yako mkuu, uhuuru wa mahakama na katiba vinadhihirisha ukomavu wa demokrasia ambayo itachukua miaka zaid ya 40 kwa TZ
wewe kichwa Maji kweli, tofautisha kati ya July Bali uamuzi Wa mahakama na kuheshimu uamuzi Wa mahakama. alichokifanya Kenyatta ni kuheshimu uamuzi wa mahakama sio kukubali maamuzi yake. pili taasisi yoyote ya uma ipo wazi kushutumiwa na kupongezwa vilevile, hiyo ndo nature ya demokrasia. mahaka is not an exception, it is open to criticisms by any disgruntled person. hii tabia ya kukosoa taasisi ya uma sio dhambi au kosa la jinai kama vile unavyodhani. kumsweka mtu ndani kisa amekosoa taasisi ya uma ni ikoloni mambo leo na ujinga wa karne ya 18Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Ulimwengu na hii miaka 40 sijui kaitolea wapi?kachukue buku saba yako mkuu, uhuuru wa mahakama na katiba vinadhihirisha ukomavu wa demokrasia ambayo itachukua miaka zaid ya 40 kwa TZ
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa nini anaitishia mahakama kuwa watakiona akichaguliwa. Katika demokrasia inakuwaje mhimili wa URAISI utishie uhuru wa mhimili wa MAHAKAMA?wewe kichwa Maji kweli, tofautisha kati ya July Bali uamuzi Wa mahakama na kuheshimu uamuzi Wa mahakama. alichokifanya Kenyatta ni kuheshimu uamuzi wa mahakama sio kukubali maamuzi yake. pili taasisi yoyote ya uma ipo wazi kushutumiwa na kupongezwa vilevile, hiyo ndo nature ya demokrasia. mahaka is not an exception, it is open to criticisms by any disgruntled person. hii tabia ya kukosoa taasisi ya uma sio dhambi au kosa la jinai kama vile unavyodhani. kumsweka mtu ndani kisa amekosoa taasisi ya uma ni ikoloni mambo leo na ujinga wa karne ya 18
usikurupe mkuu, isikilize hiyo clip vizuri, alichokisema ni kwamba wata revisit hiyo judgement baada ya huu uchaguzi, kurevisit ina maana kuangalia dosari za kisheria zilizotokea katika hayo maamuzi ili kurekebisha pia kisheria. pili hakuwatishia majaji, alichokisema ni kwamba kama asingekua mpenda amani na demokrasia wangekiona cha mtema kuni maana angeweza kuhamasisha wafuasi wake kutokuheshimu maamuzi ya mahakama kama alivofanya raila baada ya matokeo yalipotangazwa.Sasa kwa nini anaitishia mahakama kuwa watakiona akichaguliwa. Katika demokrasia inakuwaje mhimili wa URAISI utishie uhuru wa mhimili wa MAHAKAMA?
Sent using Jamii Forums mobile app
I88
No no no!usikurupe mkuu, isikilize hiyo clip vizuri, alichokisema ni kwamba wata revisit hiyo judgement baada ya huu uchaguzi, kurevisit ina maana kuangalia dosari za kisheria zilizotokea katika hayo maamuzi ili kurekebisha pia kisheria. pili hakuwatishia majaji, alichokisema ni kwamba kama asingekua mpenda amani na demokrasia wangekiona cha mtema kuni maana angeweza kuhamasisha wafuasi wake kutokuheshimu maamuzi ya mahakama kama alivofanya raila baada ya matokeo yalipotangazwa.
Kama serikali yako inafanya Mamb ya kipumbavu na nani wapumbavu unataka kushabikie vipi?Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Usiwe mvivu na kupenda kulishwa kwa kijiko. Majadiliano ya hilo kongamano yamezagaa bwerere mitandaoni. Katafute.Mantiki ya mtoa post sijaielewa, hilo kongamano lililo fanyika ud hujatuambia lemezungumzia nini.. then unawaambia wa2 wafuate hayo mawazo, kweli watanzania tuna2mia asilimia 1 ya ubongo wetu
Sasa Tume Huru Ya Uchaguzi ya Kenya imefanya werevu kuipoka Kenya demokrasia kwa kuchakachua matokeo ya uchaguzi kwenye seva zao?Kama serikali yako inafanya Mamb ya kipumbavu na nani wapumbavu unataka kushabikie vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Sasa kuna kitu gani kuzuri kuhusu Demokrasia hapa Tz?Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la [HASHTAG]#MezaYaWazalendo[/HASHTAG] lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu. Sasa msifieni tena huyu baba yenu wa demokrasia anaewatusi majaji walioamua uchaguzi urudiwe.
Mkuu mbaya zaidi ametoa ahadi ya kuwashughulikia. Anadai CJ Maraga hawezi kumchezea yeye bado ni Rais.
Jana nimeona Umoja wa Mahakimu na Majaji nchini KE wamelani vikali matamshi ya UHURU na wamedai hawawezi kutishwa wataendelea kufanya kazi kwa mujibu wa sheria. Najiuliza je hapa TZ mahakimu wanaweza kutoa tamko la kulaani pale Rais anapoingilia uamuzi wa mahakama?
hapa ni "Love to Death kwa Democracy!" kitendo cha kutii maamuzi ya Mahakama japo hakubaliani nayo, siyo cha kawaida katika Afrika. Angalia mfano wa haya Mabaradhuli ya hapa kwetu, Mahakama imezuia ubomoaji yenyewe yanabomoa tu, mpaka yazuiwe na yule baradhuli mkuu!Mbona unakuwa kipofu kaka
ama ndio unajaribu kutuonyesha
love to death kwa Uhuru????
You are absolutely right.Binafsi sijawahi msifia Uhuru bali naona katiba yao ndo kitu bora . Hivyo Tanzania yatakiwa kuwa na katiba itakayoendana na wakati kama ilivyo kwa majirani zetu, separation of power is inevitable in todays world