- Thread starter
- #81
Nilichouliza ni kuwa bado mnataka tuige yanayotokea Kenya hivi sasa?Sasa kuna kitu gani kuzuri kuhusu Demokrasia hapa Tz?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichouliza ni kuwa bado mnataka tuige yanayotokea Kenya hivi sasa?Sasa kuna kitu gani kuzuri kuhusu Demokrasia hapa Tz?
Nimepitia huko. Kanywea ile mbaya kuhusu "baba wa demokrasia". Sasa karudi kuwasifia ma-celebrities.Kale ka kigagula kimbaumbau ka kwa trump ndio kiherehere zaidi kanatumika
Ni wanachama wa chama gani walisaini mikataba ya wizi ? nani anavunja mikataba na kuifanya nchi ilipe fedha nyingi? Jibu hayo maswali, utajitafakari upya maandishi yako!
Jibu hoja iliyoletwa ukumbuni usijitoe akili. Pili Lowasa unayebusu miguu yake yumo katika list ya ccm kuiba hivyo huna point. UKAWA walishapoteza moral authority ya kuisema ccm juu ya wizi na ufisadi tangu July 2015 walipowapokea Lowasa na SumayeNi wanachama wa chama gani walisaini mikataba ya wizi ? nani anavunja mikataba na kuifanya nchi ilipe fedha nyingi? Jibu hayo maswali, utajitafakari upya maandishi yako!
...................
Hata wewe mkuu, kama nikija nyumbani kwako na kuanza kuponda kila ulichonacho kuanzia viti, baskeli yako, rangi uliopaka, n.k., unafikiri utanisikiliza ushauri wangu wa nini cha kufanya kuboresha maandhari yako?...........
Tupu nukuu moja tu kutoka Ilani hiyo ya CCM kuthibitisha madai yenu.ILANI YA CCM NDIYO ILIYOTUMIKA, SIYO YA LOWASA WALA SUMAYE. MUONGOZO UNATOLEWA NA CHAMA UNAENDA KWA WATENDAJI WAKE.
Muulize Lowasa na Sumaye ni wa chama gani?Retired, jitahidi kubadilika ujibu hoja kama mtu mzima, mwenye weredi na umakini. Unadai wanachama wa chama hicho ndio waliosaini mikataba ya wizi!!! Una uthibitisho huo, au umeandika tu kutoka ndotoni!
Kwamba watumishi wote ni wanachama cha hicho chama, au ni sera ya hicho chama! Du! Usijifanye hamnazo!
Upinzani umeshindwa uchaguzi. CCM wameunda serikali yao na wanaongoza nchi kufuatia sera zao zilizowapa ushindi.Mkuu kumbuka Rais ni mwajiriwa kwa hiyo anawajibika kwa mwajiri wake. Hivyo ni tofauti na ulichoaandika hapa juu.
Upinzani umeshindwa uchaguzi. CCM wameunda serikali yao na wanaongoza nchi kufuatia sera zao zilizowapa ushindi.
Bado upinzani wanataka serikali ifuate wakitakacho wao - hii ndio demokrasia mnayoitaka?
Kuna haja gani ya kuwa na uchaguzi na kuna faida gani ya kushinda uchaguzi kama alieshindwa ndie anaetaka asikilizwe kwa kila kitu. Ebo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mkibanwa huwa hamna jipya zaidi ya kurudiarudia hivyo viswali vya kipuuzi, we hujui kiranja aliyeongoza kusaini mikataba ya wizi ndio kanunua chama chenu, na mwenzake mwenye mahekari asiyoyalima wote wamehamia kwenu na mmewasafisha kweli kweli! Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu.Ni wanachama wa chama gani walisaini mikataba ya wizi ? nani anavunja mikataba na kuifanya nchi ilipe fedha nyingi? Jibu hayo maswali, utajitafakari upya maandishi yako!
We punguani kweli! Yaani mtu akiwa chadema akapanga kuiba basi atakuwa ametumia ilani ya chadema?!!ILANI YA CCM NDIYO ILIYOTUMIKA, SIYO YA LOWASA WALA SUMAYE. MUONGOZO UNATOLEWA NA CHAMA UNAENDA KWA WATENDAJI WAKE.
Lisu kimyaa.Hii post braza umegonga watu kwenye nyonga..wao wanadhani demokrasia rahisi kiivyo wakati wenyewe kwenye chama tu imewashinda..halafu wanataka wenzao wa practice ili iwe njia nyepesi kwao..tutangoja kwanza iingie kwenye chama chao kisha tutaiga wanavyoitendea haki hiyo demokrasia..
Well, hata mimi sina chama.Mkuu nikiwa kinyume nawe tayari unaniita mpinzani? Nchi hii alio kwenye vyama hawafiki hata milioni 10. Hivyo unapotoa hoja ondoa fikra kuwa kila mtu hapa jukwaani ni mwanachama wa CDM au CCM, tupo pia tusio na vyama na tuna haki ya kuchangia. Nchi ni yetu sote hii.
Hamna nadhani sababu ya kumuita ni kwasabab pamoja na kusikitishwa na anri ya majaji ila kaheshimu maamuz yao atakama angetusi namna gani ila kukubali tu kaonesha mfano mkubwa sanaa,....maan nchi yetu hao wangepimwa mkojo kabisa kama sio kutekwa
Si kweli mtu hatawali kama nafsi yake inavoitaji nchi inatawaliwa na kikundi cha watawalaNadhani mikataba haikusainiwa na chama, inasainiwa na watu. Na hao watu wengine wako CCM na wengine wako CHADEMA
Amesema akishinda uchaguzi majaji watamkoma. Demokrasia?Hamna nadhani sababu ya kumuita ni kwasabab pamoja na kusikitishwa na anri ya majaji ila kaheshimu maamuz yao atakama angetusi namna gani ila kukubali tu kaonesha mfano mkubwa sanaa,....maan nchi yetu hao wangepimwa mkojo kabisa kama sio kutekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimetaja serikali?Usiwe unazungumza kitu usichokijua. Dr. Mvungi alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Tafadhali usiyahusishe mauaji yake ya kinyama na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimetaja serikali?Usiwe unazungumza kitu usichokijua. Dr. Mvungi alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Tafadhali usiyahusishe mauaji yake ya kinyama na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app