ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,493
- 27,733
Hawezi kuwa baba wa democrasia tena imedhiirikaHapa acha kuangalia maneno ya jukwaani ambayo ni kampeni.
Kikubwa angalia ukabali wake wa maamuzi ya mahakama
Jinsi alivyo ruhusu mahakama iwe huru kutoa uamuzi.
Hapo ndipo democrasia ilipolala.
La alikuwa na uwezo wa kuwashinikiza hata kwa kuateka kama ccm walivyofanya kwa jecha na kuwalazimisha majaji kuamua upande wake.
Hivyo basi bado kinyatta ni baba wa democrasia ambayo tunapaswa kuiga toka kwake si hapa tunaposema eti kuna muhimili uliojichimbia zaidi, wazo dhaifu sana la kiongozi wa nchi kutamka
kwamba ni mnafiki na akishindwa uchaguzi sidhani
kama atakubali kuachia kiti huyu.