Hivi yule "Baba wa Demokrasia" wa kuigwa na TZ kutoka nchi jirani ni NANI TENA?

una uhakika na unayoyasema??
Nani kamuua Musando mkurugenzi wa tehama.
nani aliyemfyatulia risasi yule mbunge wa kule Mombasa.
nani anayefyatulia risasi waandamanaji?
nani anayegonga na gari wakenya masikini.
tafakari kwa kina bila kuegemea upande wowote.

Msando aliuwa na watu wa NASA ili wapate njia ya kuanzisha vurugu kwani walijua hawatashinda katika sanduku la kura! GEMA na Kalenjins mashabiki wa Jubilee wana kura 8.1(GEMA) million na 3.0million(Kalenjins vote),(jumla 11 million kama opening balance)sasa sehemu mbili tu zamtosha Uhuru kushinda na chache za Wasomali, Waluhya, Wamasaai na Pwani ni nyongeza. NASA walikuwa wanalenga kwenye nusu mkate hata kabla ya uchaguzi wa 8/8//2017.
 
Alianza vizuri juzi, jana akateleza mihemko ya kwenye jukwaa! lakini bado huwezi linganisha na nchi yoyote ya kiafrika. Hopefully atarekebisha alipoteleza.
Ndugu amesharekebisha alipoteleza!???

Uhuru hajawahi na hatokuja kuwahi kupigania demokrasia,Odinga siku zote ndiye alikua mstari wa mbele kupigania demokrasia Kenya.
 
Ndugu amesharekebisha alipoteleza!???

Uhuru hajawahi na hatokuja kuwahi kupigania demokrasia,Odinga siku zote ndiye alikua mstari wa mbele kupigania demokrasia Kenya.
What I say is, alianza vizuri ila sasa anakuwa hovyo. Hovyo kabisa kabisa. Uhuru kweli , lakini kwa kuongozana na "fulani", sina imani naye pia katika democracy.
 
Ndugu amesharekebisha alipoteleza!???

Uhuru hajawahi na hatokuja kuwahi kupigania demokrasia,Odinga siku zote ndiye alikua mstari wa mbele kupigania demokrasia Kenya.

Lakini huyo huyo unasema baba wa demokrasia ndiye aliyesimamia katiba ambayo imeunda serikali za kikabila yaani county governments 47 na kila county ina wastani wa kabila moja linaloishi humo, kuna makabila 44. Ilikuwa iundwe serikali za mikoa(provincial) angaa ingalipunguza ukabila. Nyerere alitaka tuunde serikali moja Africa Mashariki(Federation) kwani Watanzania tunajitambua kama wa Tz na Wakenya wangalijitambua kama Wa Kenya badala ya makabila na Waganda hivyohivyo. Lakini imebaki historia tu.
 
Msando aliuwa na watu wa NASA ili wapate njia ya kuanzisha vurugu kwani walijua hawatashinda katika sanduku la kura! GEMA na Kalenjins mashabiki wa Jubilee wana kura 8.1(GEMA) million na 3.0million(Kalenjins vote),(jumla 11 million kama opening balance)sasa sehemu mbili tu zamtosha Uhuru kushinda na chache za Wasomali, Waluhya, Wamasaai na Pwani ni nyongeza. NASA walikuwa wanalenga kwenye nusu mkate hata kabla ya uchaguzi wa 8/8//2017.
Duuuuh.. yaani bila aibu unahesabu kura kwa kutumia ukabila, hivi Kenya mkoje?, ukabila ni jambo la kujisifia mbele za watu kweli?, dunia ya leo kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kujitapa kwa ukabila bila wasiwasi, na huyo mtu anadai amesoma na kuelimika, sasa hiyo elimu huko Kenya inawasaidiaje kama imeshindwa kutatua tatizo la msingi linaloisambaritisha Kenya?, Hivi kuna tofauti gani kati ya wakenya na wale bush man wanaoishi porini kule Botswana?. Ukabila ni jambo hatari ungekuwa na kichwa kizuri ungejisikia aibu kujisifia ukabila, kama watu weusi mnatengana wenyewe kwa wenyewe, kwa nini unalala wazungu wanapotubagua?, au ndiyo sababu Kenya hamkushughulika katika ukumbuzi wa Africa kwa sababu ubaguzi kwenu ni jambo linalokubalika?.. bure kabisa wewe.
 
Ko anakupa uhalali wa kufikiri unavyo fikiri,sawa walimsifia kidawa kuwa mtoto mzuri anapenda shule hapendi wanaume kweli ndo alivo kuwa wakamnanga mwajuma wa kwao Leo kidawa kidato cha tatu tu kapata mimba,,,kosa la walo msifu au la kidawa
 
Duuuuh.. yaani bila aibu unahesabu kura kwa kutumia ukabila, hivi Kenya mkoje?, ukabila ni jambo la kujisifia mbele za watu kweli?, dunia ya leo kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kujitapa kwa ukabila bila wasiwasi, na huyo mtu anadai amesoma na kuelimika, sasa hiyo elimu huko Kenya inawasaidiaje kama imeshindwa kutatua tatizo la msingi linaloisambaritisha Kenya?, Hivi kuna tofauti gani kati ya wakenya na wale bush man wanaoishi porini kule Botswana?. Ukabila ni jambo hatari ungekuwa na kichwa kizuri ungejisikia aibu kujisifia ukabila, kama watu weusi mnatengana wenyewe kwa wenyewe, kwa nini unalala wazungu wanapotubagua?, au ndiyo sababu Kenya hamkushughulika katika ukumbuzi wa Africa kwa sababu ubaguzi kwenu ni jambo linalokubalika?.. bure kabisa wewe.

Hiyo ni historia ya Kenya wala siyo kuteta au kutetea GEMA ni. Wakikuyu, Wameru, Waembu na Wakamba na ni chama chao na Kalenjins ni Kipsigis, Nandi, Marakwet etc. ndiyo maana Urais tangu 1963 unapokezana (rotate) kwa haya makundi mawili, na mkondo ndivyo ulivyo. Tanzania kuna bahati makabila 126 lakini marais wametoka kwenye smallest tribes Zanaki, Mkwere, Mzaramo(Mwinyi) wa Zenj, Myao ila wakati huu ni kutoka from the largest tribe! Lakini uzuri wa Tz hakuna ukabila.
 
Hiyo ni historia ya Kenya wala siyo kuteta au kutetea GEMA ni. Wakikuyu, Wameru, Waembu na Wakamba na ni chama chao na Kalenjins ni Kipsigis, Nandi, Marakwet etc. ndiyo maana Urais tangu 1963 unapokezana (rotate) kwa haya makundi mawili, na mkondo ndivyo ulivyo. Tanzania kuna bahati makabila 126 lakini marais wametoka kwenye smallest tribes Zanaki, Mkwere, Mzaramo(Mwinyi) wa Zenj, Myao ila wakati huu ni kutoka from the largest tribe! Lakini uzuri wa Tz hakuna ukabila.
Ndiyo sababu ni muhimu kuijua historia na kuifanyia marekebisho, ndiyo lengo la kujifunza historia, ili kuona ni mambo gani mazuri ili yaendelezwe kwa kuyapokeza kwa vizazi vijavyo, na yale mabaya muachane nayo, ikiwezekana muyafute katika akili za watu, kitendo cha kurudia kuyaeleza na kuyarudia mara nyingi, ni kuyaeneza hata kwa watu ambao walikuwa hawayajui kama mimi tunaanza kufuatilia kwa umakini zaidi, achaneni na historia mbaya kama hizo zinazidi kuwagawanya badala ya kuwaleta pamoja
 
Back
Top Bottom