Hivi "Young" ni sawa na "Yanga"?

Nisawa na jina KARIAKOO lilipatikana kwa wenyeji kutamka CARRIER CORPS,ndio ikawa Kariakoo mpaka leo,sasa mleta mada iko siku atauliza nini maana ya Kariakoo?!
Inaonekana mleta mada hazingatii kinachoitwa historia ya jambo. Yeye anaangalia leo tu na hapa tu. Hiyo ya Kariakoo kali sana. YOUNG Africans na Yanga. Carrier Corps na Kariakoo. Mjadala lazima uishe hapo.
 
Nisawa na jina KARIAKOO lilipatikana kwa wenyeji kutamka CARRIER CORPS,ndio ikawa Kariakoo mpaka leo,sasa mleta mada iko siku atauliza nini maana ya Kariakoo?!
q
Hapa kwa kariakoo wengi hatukulijua hili, ahsante. Hata hivyo Kariakoo ndilo jina halisi kwa sasa lakini Yanga linatumika kama jina halali na rasimi na watu wote hata serikali wakati sio jina halisi la timu
 
Nisawa na jina KARIAKOO lilipatikana kwa wenyeji kutamka CARRIER CORPS,ndio ikawa Kariakoo mpaka leo,sasa mleta mada iko siku atauliza nini maana ya Kariakoo?!
q
Hapa kwa kariakoo wengi hatukulijua hili, ahsante. Hata hivyo Kariakoo ndilo jina halisi kwa sasa lakini Yanga linatumika kama jina halali na rasimi na watu wote hata serikali wakati sio jina halisi la timu
 
q
Hapa kwa kariakoo wengi hatukulijua hili, ahsante. Hata hivyo Kariakoo ndilo jina halisi kwa sasa lakini Yanga linatumika kama jina halali na rasimi na watu wote hata serikali wakati sio jina halisi la timu

Kariakoo upo mtaa, na ni rasmi. Yanga si rasmi documents zinatambua Klabu kama Yoing Africans. Nilisema juu kuwa Young Africans ikibadili na kurasimisha iwe Yanga. itatambuliwa jams Kariakoo. Kabla ya hapo waswahili tutakiita Klabu Yanga bila shida.
 
Mkuu umeelezea vizuri mno tena kwa hisia kali kuhakikisha unaeleweka. "Thumb up" mkuu
 
Nisawa na jina KARIAKOO lilipatikana kwa wenyeji kutamka CARRIER CORPS,ndio ikawa Kariakoo mpaka leo,sasa mleta mada iko siku atauliza nini maana ya Kariakoo?!
hivi ni carrier call au carrier corps??? nakumbuka wakati tunasoma mwalimu wetu alituambia ni carrier call baada ya watu kushindwa kuitamka ndio Kariakoo ikazaliwa
 
sasa Sunderland mbona leo inaitwa simba je ni umbumbumbu wa vingozi wao au vipi
Hiyo ni kama Daud Albert Bashite alivyojibadili na kuwa Paulo Christiano Makonda na hii ni kutokana na ufaulu wake kuwa mzuri katika kisomo chake cha sekandari
 
Kuna majina ya Mitaani na majina ya Passport , hivyo unaweza kuamua lipi ni lipi
 
Kuna majina ya Mitaani na majina ya Passport , hivyo unaweza kuamua lipi ni lipi
 
Ni neno sahihi kwa matamshi ya kiswahili yaliyotoholewa kutoka neno la kingereza 'younger' linalotokana na neno young.
Kwa kingereza neno 'younger' ni adjective yenye kumaanisha "changa" ama mdogo.
 
Young sio yanga hata siku moja bora wangesema yang. Hapo sawa sio yanga labda tuulize wazee waseme maana ya yanga ni nini maana haliingii kwenye tafsiri sahihii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…