Hivi X Kaka Polisi Chris Lukosi yuko wapi?

Hivi X Kaka Polisi Chris Lukosi yuko wapi?

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,439
Jamani huyu mtu alikuwa anafurahisha saana kijiwe na stori zake za kipolisi pamoja na siasa ndani yake mbali na kuwa na tuhuma kadhaa zinazomkabili ikiwemo ya kuingia mitini na rambirambi za the late mwangosi.

Mwenye taarifa au kama yupo mwenyewe atujuze maana kimya kimekuwa kingi na tunawakosa makamanda kindakindaki humu jukwaani wa kariba yake.
 
Haaa Haaa Haaa. Duh!
Huyo jamaa kawa kimya sana huwezi amini alikuwa sio Member wa kutoingia humu ila kwa thread hii huenda akaja kutusalimia haraka sana kuonyesha katoboa hadi 2015 akiwa hai.
 
yupo humuhumu tu, ila kaminya anasubiri mgombea wa CCM ahemee chenji kama kawaida yake
 
yupo kajaa tele,nenda facebook uone anavyokula bata ukerewe.

Mkuu Wewe mwenyeji sana huko Ukerewe nini?
Maana Haaa Haaa nimecheka sana kaamua akae kimya japo Watu wanamchora huko huko Ukerewe
 
Hivi zile RambiRambi za marehem D.Mwangosi(R.I.P) alizirudisha?
 
Mkuu Wewe mwenyeji sana huko Ukerewe nini?
Maana Haaa Haaa nimecheka sana kaamua akae kimya japo Watu wanamchora huko huko Ukerewe

ha ha mie sio mwenyeji wa huko,kina flora lyimo ndio wamelowea huko na sasa ni mabilionea kama wahindi maana wanamiliki malls na mbuga za wanyama.
 
Back
Top Bottom