Hivi Wezi wa Escrow wapo CHADEMA?

Hivi Wezi wa Escrow wapo CHADEMA?

Dumelang

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
3,267
Reaction score
5,854
Naomba kila mmoja atakae jibu ajibu jibu moja tu wapo wapi, Ccm au Chadema?

Walioficha Stanibic Pesa na Akaunt zisizo na Majina mpka leo wapo Chadema au CCM

Waliopata Mgao Escrow Juzi juzi tu hapa wapo CHADEMA??

Nisaidieni Jibu moja tu GT

Chadema Au CCM
 
naomba kila mmoja atakae jibu ajibu jibu moja tu wapo wapi, ccm au chadema?

Walioficha stanibic pesa na akaunt zisizo na majina mpka leo wapo chadema au ccm

waliopata mgao escrow juzi juzi tu hapa wapo chadema??

Nisaidieni jibu moja tu gt

chadema au ccm

richamond-------- dowan-------------iptl------------------pap ikafunguliwa account escrow
 
Swali zuri sana hili. Sita na mwakyembe watajibu. Tena kuna wengine wamepitishwa kugombea uongozi.
 
Azabu tosha ccm kukosa urais na wabunge
 
Dawa ni wakimbilie CHADEMA na wao tuanze kuwatetea kama tunavyomtetea Lowasa.
 
Dr slaa kapuliza dawa ya mende shimoni; lazima watoke...............................................
Tumeona, mbatia,
 
"Kila anapopita,Lowassa anaungwa mkono kwa kasi ya kutisha. Katika mikutano kadhaa,wananchi walikua wanaulizwa nani rais wap jibu linatoka Lowassa," ameeleza mjumbe mmoja wa kamati ya kampeni. Kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM anasema, "sauti hizo za Lowassa ndio rais, zimetikisa sana kambi ya kampeni. Yaan kila tunakopita,ukiwauliza nani rais wao,sauti zinasikika wakimtaja mpinzani wetu...inatisha."
Tayar wapiga kampeni wamezuiwa kuuliza swali hilo,ili kuepusha chama hicho na aibu.
Mwanakamati huyo ambayo hakutaka kutaja jina lake gazetini ametaja moja ya ya kisa hicho, kua ni kile kilichotokea, mjini Songea ambako picha za video zilisambazwa zikionesha wananchi wakijibu "rais ni Lowassa" kama ilivyotokea Katika mkutano wa Songea,Jumatatu ya wiki hii,ambao mpiga kampeni wa chama hicho Dr Emmanuel Nchimbi aliuliza, "rais ni nani," wananchi wakajibu "Lowassaaaa."
Pamoja na Nchimbi kuzima hoja hiyo kwa kujibu mwenyewe na baadhi ya watu wachache kuwa rais ni magufuli,tayar jibu Lowassa liliwazidi nguvu.
"Ukiacha majibu hayo bado tunatishika sana tunapoona umati ukiwapokea wagombea wetu hasa magufuli na mgombea mwenza, Samia, walipokea walipokelewa kwa alama za vidole viwili ikiwa ni alama zinazotumiwa na Chadema," alidokeza kada huyo. "!nabidi tujipange sana na kuwa makini na wapambe wetu,wakiendelea kutumia matusi tutashindwa uchaguzi na hatutakua na wa kumlilia,inavyo onekana wa nchi hawapendi matusi, sababu tumekuwa tukikutana na wananchi walioshika mabango yakinukuu matusi ya mkapa hii inatupa wakati mgumu sana."
 
Dhambi haialalishwi kwa dhambi hao ni vijambazi ila jambazi kuu lipo chadema.
 
Dr slaa kapuliza dawa ya mende shimoni; lazima watoke...............................................
Tumeona, mbatia,

slaa hana maana pindi walituhumiwa matumizi mabaya ya fedha mpk kumfukuza zitto alidhani dhambi haitamtafuna ? malipo haa hapa vyama vyote wezi tu asingetetea matumizi mabaya ya feha za CHADEMA angekuwa mzalendo.
 
Mwizi halisi hawez kutoka ccm samaki atatokaje nje ya maji!
 
Back
Top Bottom