kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
Tena huyo shangazi yako inaonekana kaolewa na msukuma aliyekulia mjini. Sisi wasukuma wa jadi hakuna cah breakfast wala nini: Kwa ufupi ratiba ni kama ifuatavyo (daily): asubuhi ni ugali na maziwa (hii inaitwa bhwabhadimi), mchana ni ugali, mboga za majani na maziwa tena na usiku ni ugali na samaki na maziwa. Wali si chakula kwa msukuma anayedumisha mila. Wali ni kama matunda tu yaani. Wasukuma oyeeeee, we si unaona miili yenyewe...