Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,939
- 15,664
Duh, shosti una matusi ya reja reja aisee😂😂Best hujakosea naishi hivyo hivyo kuliko kabisa ili mradi hanisumbui kichwa .
TUNAHESHIMIANA .
naukimwona hutajua ni malaya anaheshima sana ni anajiheshimu.
Ila cmu zake zinaita kama dalali.
Hapana sipendi vitoto vizuri Mimi ni shetani.Karibu uwe second mchepuko
😂🤣🤣Hapana sipendi vitoto vizuri Mimi ni shetani.
KaribuuuWewe dada kwa maelezo yako uliyotueleza humu mbona kama nakufahamu kutokana na huo wasifu wa mumeo na wasifu wako, changamoto hiyo hadi mwandiko wako kama nimeukariri hivi,si kwa ubaya ila ni kwa kukuheshimu tu niruhusu nije pm nijue kama ndo au wewe au nimekufananisha na wala siji kukutongoza ila ni kwa kufahamiana tu kiufupi.
Hapana huu ni ukweli wala sijawahi pigana naye ni mtu mzima sana unakosa hata poziDuh, shosti una matusi ya reja reja aisee😂😂
Unakumbukumbu dah hongera alinimdhibiti nikajidhibitiMbona yeye hajaandika uzi ulivyokuwa unamganda yule mwarabu wa supermarket!?
Alie elewa anifafanulie ! Uandishi gani huu jamani?Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .
Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.
Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?
Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.
Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .
Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.
Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?
Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.
Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Ndioo .Pole sana katoto .
Mungu akutetee, huwezi kumbadilisha mtu tabia.
Poa acha mwamba na yeye adhibitike uko nje, akiachwa atatulia, ni mwendo wa bampa tu bampaUnakumbukumbu dah hongera alinimdhibiti nikajidhibiti
Akaniacha akaenda kwa mwingine
Hii thread uliandika ukiwa juu ya kifua cha mtu ??Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .
Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.
Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?
Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.
Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .
Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.
Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?
Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.
Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Good oh thanksPoa acha mwamba na yeye adhibitike uko nje, akiachwa atatulia, ni mwendo wa bampa tu bampa
So it's your turn, relax
Ndio hujakosea ni kwenye kifua chakoHii thread uliandika ukiwa juu ya kifua cha mtu ??
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .
Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.
Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?
Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.
Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .
Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.
Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?
Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.
Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
Nimekuja natuma meseji naambiwa siwezi kuconversate na weweKaribuuu
Mbona yeye hajaandika uzi ulivyokuwa unamganda yule mwarabu wa supermarket!?
HapanaUna udugu na Don Nalimison?
Ulitaka kusema nini?Nimekuja natuma meseji naambiwa siwezi kuconversate na wewe