MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,882
Ila wengi wao ni vitombi kweli, 😄😄Kwa mujibu wa wanawake kadhaa, nikiwaambia mie sinywi pombe, wananiambia basi nitakuwa kitombi saana, wanaume tusiokunywa pombe, kuvuta sigara n.k tunaonekana ni wapenda chini mnooo.
Hujaambiwa huna tako.. Umeambiwa umepigwa pasi!Kama sina matako nakalia kichwa 😂
Wewe wanywa ndugu?Sio kweli. Hatuwapendi wanaokunywa kupitiliza. Kama anakunywa kistaarabu haileti kero haina tatizo kwa baadhi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi hua wanaamni hivyo,wanadhani mbadala wa pombe Ni sex,lakini hiyo sio kweli.Ulweli wanywa pombe na wasiokunywa wote wanapenda sex.sex Haina mbadala ndugu.Ila wengi wao ni vitombi kweli, 😄😄
Karibu ule kitu, jah bless kwenye orodha yako hujakiwekaUnye pombe ili iweje mi nimeapa staigusa pombe yoyote naomba Mungu anisaidie sitavuta sigara mpka naingia kaburini
Asante kwa kunijibu kistaarabu.Nimeshaelewa.
Mkoa ambao maji yanatiririka milimani, mji kasoroAsante kwa kunijibu kistaarabu.Nimeshaelewa.
Swali langu jingine laja,je uko wapi? Nitajie Mkoa tu.
Jibu swali langu la nyongeza tafadhari ili mchakato uanze, na mawasiliano yahamie faragha.
Kwa ruhusa yako Mkuu naomba tuhamie fargha ili mjadala wetu huu tunaouanzisha uwe na mustakabali na maudhui ya kikubwa.
Kwa ruhusa yako Mkuu naomba tuhamie fargha ili mjadala wetu huu tunaouanzisha uwe na mustakabali na maudhui ya kikubwa.
habari zenu wakuu na poleni na mihangaiko ya maisha.
swali langu ni kwa wanawake, hivi huwa mnawachukuliaje wanaume wasiokunywa bia kabisa?binafsi washikaji zangu wasiokunywa bia huwa nawaona kama hawako vizuri upstairs.