Mayuri
Senior Member
- Feb 5, 2018
- 138
- 203
Habari zenu wakuu na poleni na mihangaiko ya maisha.
Swali langu ni kwa wanawake, hivi huwa mnawachukuliaje wanaume wasiokunywa pombe kabisa? Binafsi washikaji zangu wasiokunywa bia huwa nawaona kama hawako vizuri upstairs.
Dilek nimekupenda sanaSio kweli. Hatuwapendi wanaokunywa kupitiliza. Kama anakunywa kistaarabu haileti kero haina tatizo kwa baadhi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi kabisa.. Maana hawa wanaotumia Pombe huwa wanajiona kuwa ndio wao ndio wanaume Kamili tu Kumbe ni upuuzi tu
Kujamiiana sio mashindanowanaume wanaokunywa pombe wanapiga kimoja chali kuamka mpaka kesho yake asubui ndio anastuka kumbe nipo na gashi
Vilevi gani mrembo?..
Zinatosha mkuu rudi nyumbani, inaelekea leo ulizianza mapema sana
Habari zenu wakuu na poleni na mihangaiko ya maisha.
Swali langu ni kwa wanawake, hivi huwa mnawachukuliaje wanaume wasiokunywa pombe kabisa? Binafsi washikaji zangu wasiokunywa bia huwa nawaona kama hawako vizuri upstairs.
Ukitaka kutoa stress jaribu kuwa na kitu specific unachokipenda ! Situmii pombe Ila Mambo yakiwa magumu huwa napenda sana kusikiliza music stress zote zinapoteaNina miaka 41 sijawahi kunywa pombe ila nasikia zinasaidia sana kutoa stress nataka nijifunze