Hivi wanaume wengine mkoje?

Mbona kule juu umeandika kwa CAPS lakini hapa chini umeandika kwa herufi ndogo....au ulitumia kibodi tofauti yakhee?

Kumuhadidhia mtu akaamini seriously ni ngum maana hata sisi tumeona kama movie, na dada ndo kaachwa mwanaume hataki kujua lolote, shia inakuja hivi huko aliko ndo yule dada mwingine yupo sijui wataendelea? mh majanga
 

hiyo ni ajali kazini hakuna mbaya
 
Sioni kosa lake! si huyo mwanamke naye aolewe? mbona mnadai haki sawa nyie?
Kama munaona haiwezekani basi msidai haki sawa!!!!!!!!!!
 
Ukishangaa ya musa utaona ya firauni!!Dunia hii ya sasa haaa mi hoi hapa!!!
 
kwa hiyo umeandika kwa herufi kubwa kuonesha msisitizo?
tukushauri nini sasa?
au we ndo hiyo njemba iliyotaka kuoa tena huku ukijua ina mke na watoto kadhaa?
Ondoa utata sema usikike
 
umeulizwa hivi wanaume mkoje mnajibaraguza tu hapa!!!

Daudi kama umeipenda ichukue tu utauza sana, ila ni story ya kweli kabisaa
 
kwa hiyo umeandika kwa herufi kubwa kuonesha msisitizo?
tukushauri nini sasa?
au we ndo hiyo njemba iliyotaka kuoa tena huku ukijua ina mke na watoto kadhaa?
Ondoa utata sema usikike



Ungesoma ungeelewa acha kupiga kelele, kama hujui kusoma herufi kubwa chapa mwendo huko hujaitwa kwa jina, na utakua wewe haswa ndo hiyo njemba mbona kime kuuma shame on you
 
Ungesoma ungeelewa acha kupiga kelele, kama hujui kusoma herufi kubwa chapa mwendo huko hujaitwa kwa jina, na utakua wewe haswa ndo hiyo njemba mbona kime kuuma shame on you

Una jazba?
Mbona hujibu swali?
Haya subiri basi huo msaada unaotafuta tuone kama utaupata
 
Bad gateway.......................

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…