Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Nimejikuta nikijiuliza swali hili baada ya kusoma habari hii ya kitambo kidogo iliyowahi kuwekwa hapa Jamii Forum kuhusu mashoga watano waliokamatwa jijini Dar es salaam. Je waliwekwa katika selo ipi?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...lapolisi-dar-limewakamata-mashoga-watano.html
Naomba Mods wasihamishe huu uzi katika jukwaa la sheria
CC: Ruttashobolwa, Kaizer, EMT, Nyani Ngabu, Kiranga, BAK, Gaijin, snowhite, gfsonwin, lara 1, Asprin, Eiyer, sosoliso, jouneGwalu, Mbu
Last edited by a moderator: