Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Wakuu mwenzenu kuna jambo lime niweka njia panda kwahiyo naitaji msaada wa kitaalam zaid. Hii yaweza fika mwezi wa pili cja muingilia mkewangu tatizo likiwani kuharibika kwa mimba mimba hiyo ilikua ya miezi minne ika toka sasa nili kua nataka kufaham mambo mawili 1..... Nikitugani hua kina sababisha mimba kutoka? 2..... Nihivi ndugu zake ( bibi, shangazi, dada) wame2shauri 2c ingiliane kwamuda wa miezi sita sasa hiinikweli au ndio mila2? Naomba jamani kujua,maana akili inani2ma kugonga lakini niogopa