Hivi vizinga wadada wananyopiga sio sawa

Hivi vizinga wadada wananyopiga sio sawa

Kuna mmoja hapa
Wa chuo katoka kunipga
Kiznga cha lak ya matumiz
Na anaisst iswe chin ya laki

umetoa lkn au bado unafikiria kutoa....alafu acha kutembea na wanafunzi
 
Kuhonga hakuepukiki hasa pale mwenye papuchi anapokuwa na viwango vya TBS ...
 
umetoa lkn au bado unafikiria kutoa....alafu acha kutembea na wanafunzi
Bado cjatoa maana
Anaisisti iswe chin ya laki
Na hatak kuskia vyuma vmekaza
Au havjakaza

Naacha Sasa maana
Watanirudisha bush co mda
 
Hujajitambua ww na uyo anaehonga iyo hela ni li ndezi la ushirombo

Empty set kabisa
Watu wasio na hela utawajua tu wana hasira sana wakisia mtu kampa fulan hela.....pole tafuta mkwanja ipo siku utampa mtu million kiutaniutani tu ila utakua umeshatoa
 
Ndo hapo Sasa hata hesabu
haziingian
Sasa tatizo wanawake zenu nao vizibo mtu anaomba laki akanunue Sijui wigi Sijui nini....watu tunaomba hela kwa ajili ya vitu muhimu Kama biashara au unataka kuanzisha ka mradi fulani unaomba support siyo niombe hela ya kupaka wanja maninaaa Kwanzaa Sijui ka ntapata
 
Sasa tatizo wanawake zenu nao vizibo mtu anaomba laki akanunue Sijui wigi Sijui nini....watu tunaomba hela kwa ajili ya vitu muhimu Kama biashara au unataka kuanzisha ka mradi fulani unaomba support siyo niombe hela ya kupaka wanja maninaaa Kwanzaa Sijui ka ntapata
Hapo kwenye kuanzisha mrad
Uko sawa Ila na huo mrad
Nakupa ukiwa umenizalia
mtt maana najua mwanangu ndo
Atasaidika badae
 
Hapo kwenye kuanzisha mrad
Uko sawa Ila na huo mrad
Nakupa ukiwa umenizalia
mtt maana najua mwanangu ndo
Atasaidika badae
Doooh uchoyo huu sasa hivi mnavyoruka sarakasi juu ya viuno vyetu hamtuonei huruma?????
 
Kwan raha c tunapata
wote lkn tena zaid nyie
Ndo hua mnapata raha

Papuch nayo n tamu dhaa!!
Nyinyi ndo ambao huwa mnapata raha asilimia mia mwanamke ukute hata huko kileleni hajawahi kufika toka uwe nae ila wee aaaah unashusha tu maji bila tabu na unagugumia kwa utamu...... So kutokana na hivi toa pesa ya mradi usisubiri mimba lol
 
Nyinyi ndo ambao huwa mnapata raha asilimia mia mwanamke ukute hata huko kileleni hajawahi kufika toka uwe nae ila wee aaaah unashusha tu maji bila tabu na unagugumia kwa utamu...... So kutokana na hivi toa pesa ya mradi usisubiri mimba lol
Karne hii umgegede mwanamke
Af asifke kilelen mwanaume
Utaachwa salama kweli

Af Kwa hyo mnataka kumaanisha
Mkitupa utamu tuwe tunaulipia
 
Vijana acheni ubahili ndo maana mnabebewa na vibabu, we ukiona mtu kakuomba hela ndogo hivyo maana ni kwamba humpagi. Siku ukiombwa laki si utakufa wewe hela ya fundi tu haifiki hata elfu 50 nina uhakika ushaleta bango.
 
Back
Top Bottom