Hivi vizinga wadada wananyopiga sio sawa

Hivi vizinga wadada wananyopiga sio sawa

Joined
Jul 12, 2017
Posts
84
Reaction score
77
unampez wako Mara unaskia unaambiwa Wang nipe hela nilipie nguo nimeshona kwa fundi hata hujamtaarifu ,swali je?umeajuaje kama atakuwa nayo hiyo hela unayodaiwa na huyo fundi kwangu binafsi hiyo nachukulianga zarau na always siwez kukupa kwani ni picha mbaya inaashiria utakuwa na deserve mwingine kwamba hata ukikataa fulan atalipia ,hii kwenu imekaaje wa jf.
 
Hivi kwa nini wanaume mmeadimika yaan hela ya kushona nguo tu matangazo jamii forum dah.... Hivi wewe vizinga unavijua????? ....mimi sasa hivi metoka kumwomba mtu lak tatu na katoa bila manung,'uniko we kaela kadogo tu matangazo acha ujuha kua mwanaume bhana ndo jukumu lenu kutoa huduma kwa wanawake zenu..... Hivi usipomuhudumia unataka amhudumie nani.... Akichepuka mnalaumu wakati hutimizi majukumu unatarajia nini
 
Hivi kwa nini wanaume mmeadimika yaan hela ya kushona nguo tu matangazo jamii forum dah.... Hivi wewe vizinga unavijua????? ....mimi sasa hivi metoka kumwomba mtu lak tatu na katoa bila manung,'uniko we kaela kadogo tu matangazo acha ujuha kua mwanaume bhana ndo jukumu lenu kutoa huduma kwa wanawake zenu..... Hivi usipomuhudumia unataka amhudumie nani.... Akichepuka mnalaumu wakati hutimizi majukumu unatarajia nini
usawa huu nani anaehonga laki tatu mkuu
 
Hivi kwa nini wanaume mmeadimika yaan hela ya kushona nguo tu matangazo jamii forum dah.... Hivi wewe vizinga unavijua????? ....mimi sasa hivi metoka kumwomba mtu lak tatu na katoa bila manung,'uniko we kaela kadogo tu matangazo acha ujuha kua mwanaume bhana ndo jukumu lenu kutoa huduma kwa wanawake zenu..... Hivi usipomuhudumia unataka amhudumie nani.... Akichepuka mnalaumu wakati hutimizi majukumu unatarajia nini
We nae tulaki 3 basi shida , wakati mwenzio hapa nimetoka show room kitu cha Ist
 
unampez wako Mara unaskia unaambiwa Wang nipe hela nilipie nguo nimeshona kwa fundi hata hujamtaarifu ,swali je?umeajuaje kama atakuwa nayo hiyo hela unayodaiwa na huyo fundi kwangu binafsi hiyo nachukulianga zarau na always siwez kukupa kwani ni picha mbaya inaashiria utakuwa na deserve mwingine kwamba hata ukikataa fulan atalipia ,hii kwenu imekaaje wa jf.
Unapotezea tu mkuu, mtu mwenyewe mpenzi tu mke ndio hudumia kiroho safi.
 
Hivi kwa nini wanaume mmeadimika yaan hela ya kushona nguo tu matangazo jamii forum dah.... Hivi wewe vizinga unavijua????? ....mimi sasa hivi metoka kumwomba mtu lak tatu na katoa bila manung,'uniko we kaela kadogo tu matangazo acha ujuha kua mwanaume bhana ndo jukumu lenu kutoa huduma kwa wanawake zenu..... Hivi usipomuhudumia unataka amhudumie nani.... Akichepuka mnalaumu wakati hutimizi majukumu unatarajia nini

Kuhudumia sitaki, kama kuikosa papuchi na niikose kabisa, ctak umaskini wa kujitakia, huyo bf wako aidha ana pesa sana au ni fala zeshchriss
 
Hivi kwa nini wanaume mmeadimika yaan hela ya kushona nguo tu matangazo jamii forum dah.... Hivi wewe vizinga unavijua????? ....mimi sasa hivi metoka kumwomba mtu lak tatu na katoa bila manung,'uniko we kaela kadogo tu matangazo acha ujuha kua mwanaume bhana ndo jukumu lenu kutoa huduma kwa wanawake zenu..... Hivi usipomuhudumia unataka amhudumie nani.... Akichepuka mnalaumu wakati hutimizi majukumu unatarajia nini
Mhhhh wote hatufanyi kaz moja
 
wapo wanawake wanao deserve kuhongwa.. ndio maana beckham akamuoa victoria.. au jay z na beyonce.. bila kusahau blad pitt na julie.. eva longoria na tony parker... joseph yobo na adaeze yobo...

kiufupi diva ana deserve kuhongwa na hustler...

ila mwanamke mzembe mzembe tu hata genge huna.. unawaza dressing table tu na kusuka.. hata uwe mzuri vipi hela yangu utaila siku nazokuseti nikale mzigo tu..

mimi mwanamke anaejituma kutafuta maisha mazuri kwa jasho lake.. hata nikimpa milioni roho haiumi kabisa... ila hawa masister du wa vyuoni na na baadhi ya waajiriwa wa kike wazembe wazembe.. roho inaniumaga sana nikimpa hela
 
Back
Top Bottom